Makalla awataka wakulima, wafugaji Kiteto kuishi 4R za Rais Samia

Kiteto. Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka wakulima na wafugaji wa Kiteto,  mkoani Manyara kuishi katika misingi ya falsafa ya 4R, ili kuondokana na migogoro baina yao inayojitokeza mara kwa mara na kusababisha athari kwa jamii. Falsafa ya 4R (Ustahimilivu, Kujenga upya, Mageuzi, Maridhiano) imeasisiwa na Rais Samia Suluhu Hassan tangu alipoingia madarakani Machi 19, 2021,…

Read More

Wahadzabe wakabidhiwa mradi wa ufugaji ndege pori

Simiyu. Wakati mabadiliko ya tabianchi yakizidi kushika kasi duniani, Jamii ya kabila la Wahadzabe wanaoishi katika mapori yaliyopo Meatu mkoani Simiyu, imekabidhiwa mradi wa ufugaji wa ndege pori ili kupambana na uwindaji haramu na kuimarisha ustawi wa kaya zao. Wahadzabe ni kabila linaloishi msituni katika maeneo mbalimbali nchini, huku likitegemea shughuli za uwindaji na ukusanyaji…

Read More

VIJANA CHANGAMKIENI FURSA NA JIEPUSHENI NA MIHEMKO – RC FATMA.

Vijana Mkoani Kagera pasina kujali itikadi zao za Kidini wala Kisiasa wameusiwa kuchangamkia Fursa mbalimbali zinazojitokeza katika Mkoa wa Kagera ikiwemo Fursa za Kilimo, Ili kiondokana na wimbi la umaskini unaowasababisha Kuingia katika mihemko isiyokuwa ya lazima. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa Kagera Hajat Fatma Abubakari Mwassa akiwa Mgeni Rasmi wakati wa Uzinduzi…

Read More