Tabora yaongoza kwa idadi ya wasiojua kusoma, kuandika

Nzega. Mkoa wa Tabora umetajwa kuwa wa mwisho kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika. Imeelezwa kuwa asilimia 32 ya wakazi wa mkoa huo hawajui kusoma na kuandika, ikilinganishwa na Mkoa wa Dar es Salaam wenye asilimia 2.5 ya watu wasiojua kusoma na kuandika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Septemba…

Read More

Uchaguzi wa viongozi CUF wasogezwa mbele, sababu zatajwa

Dar es Salaam. Uchaguzi wa viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) uliotarajiwa kufanyika Septemba 15, 2024, umesogezwa mbele hadi Desemba 13, 2024 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni changamoto za maandalizi. Kinyang’anyiro hicho kitahusisha nafasi za mwenyekiti, makamu mwenyekiti (Tanzania Bara na Zanzibar) na wajumbe wa Baraza Kuu la chama hicho lililopo kwa mujibu wa katiba…

Read More

PROF. MKUMBO; SERIKALI HAITAKUWA KIKWAZO KWA AZAKI

  Waziri wa Mipango na Uwekezaji Profesa ,Kitila  Mkumbo akizngumza wakati akifungua Wiki ya AZAKI iliyoanza rasmi leo Septemba 9-13, 2024 Jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji wa The Foundation For Civil Society  FCS – Justice Rutenge, akizunguza lipokuwa akitoa hotuba yake ya utanguliza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya AZAKI , Jijini Arusha. Mkurugenzi Mkazi wa…

Read More