‘Mauaji haya yawe mwisho Tanzania’

Dar es Salaam. Mauaji ya aliyekuwa kada wa Chadema, Ally Kibao aliyezikwa leo jijini Tanga,  yameibua watu mbalimbali,  wanaosema matukio hayo yawe mwisho kutokea nchini. Wamesema licha ya Rais Samia Suluhu Hassan kuelekeza mamlaka za uchunguzi zichunguze matukio ya mauaji, uchunguzi huo usihusishe vyombo vya dola. Kwa mujibu wa wadau hao wa masuala ya haki, tume…

Read More

Mgogoro wa Maji Uliosababishwa na El Niño Unawatibua Wanakijiji nchini Zimbabwe – Masuala ya Ulimwenguni

Ili kuyafikia maji yaliyo chini chini, Enia Tambo (59) anatumia ndoo nyeupe ya lita 25 kuchomoa mchanga wa Mto Vhombozi wilayani Mudzi katika Mkoa wa Mashonaland Mashariki nchini Zimbabwe. Mkopo: Jeffrey Moyo/IPS. by Jeffrey Moyo (mudzi, zimbabwe) Jumatatu, Septemba 09, 2024 Inter Press Service MUDZI, Zimbabwe, Sep 09 (IPS) – Bega kwa bega na wanakijiji…

Read More

Dk Mpango ataja sababu sita hali mazingira kutokuwa nzuri

Dodoma. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ameeleza sababu sita zinazochangia hali mbaya ya mazingira nchini, ikiwemo tuhuma kwa baadhi ya wafanyabiashara wa mkaa kuwa na ushawishi mkubwa kwenye uamuzi. Sababu nyingine amesema ni sheria kinzani, kutotosheleza kwa vitalu vya miche, vifaa vya kukusanyia taka, wenye uwezo mdogo kutomudu gharama za nishati safi, kasi ya…

Read More

LUCKY DOLPHIN SAMAKI MWENYE PESA NYINGI MERIDIANBET KASINO

UNAMBIWA bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin. Lucky Dolphin ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka kwa mtayarishaji mahiri…

Read More

Bei ya kahawa ghafi yapaa, yafikia Sh10,000 kwa kilo moja

Moshi. Wakati Serikali ikihamasisha wakulima wa kahawa nchini kulima kwa tija, Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) imetangaza kuwa bei ya kahawa ghafi ya Arabika ya maganda imepanda kutoka Sh7,500 Agosti hadi Sh10,000 kwa kilo Septemba mwaka huu. Bei ya Sh10,000 kwa kilo ni kwa kahawa iliyochakatwa kwenye viwanda vidogo vya vyama vya ushirika (CPU), huku…

Read More

KUNA WA KUMFIKIA CRISTIANO RONALDO KWENYE HILI

  MWAMBA kabisa kipenzi cha watu wengi, anajua kufunga na kushangilia muite Cristiano Ronaldo CR7 Mnyama, moja kati ya mshambuliaji hatari Zaidi kuwahi kutokea tangu dunia inazishwe. Naam!! Jamaa amecheza jumla ya mechi 1230 zenye ushindani, na amefunga jumla ya mabao 901 akiendelea kuisaka rekodi anayodhamiria kuiweka ya mabao 1000 yenye ushahidi wa video. Unaweza…

Read More

Chato Samia Suluhu Academy kuendeleza vipaji

Chato Samia Cup imeingia makubaliano na Kituo cha Michezo cha Suluhu Academy kutoka Zanzibar, lengo likiwa ni kuibua vipaji vya michezo na kuviendeleza. Utiaji saini makubaliano hayo umefanyika wakati wa mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya chato Samia Cup 2024 iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mazaina uliopo Chato kati ya timu ya mashabiki wa Simba dhidi…

Read More