Polisi, Latra yapiga ‘stop’ magari 20 Mbeya

Mbeya. Siku chache baada ya watu 21 kufariki dunia kwa ajali mbili zikihusisha mabasi tofauti mkoani Mbeya, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani kwa kushirikiana na Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) mkoani humo, wamekamata na kuzuia magari 20 kufanya kazi  kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo uchakavu. Wiki iliyopita, watu 21 walifariki dunia kwa…

Read More

NBAA YAWANOA WAKUFUNZI KUHUSU MTAALA MPYA

        WAKATI serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi sahihi ya fedha kwenye Taasisi ambazo inazisimamia ili kuweza kupatiwa hati safi baada ya kufanyiwa ukaguzi wa kimahesabu, Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi Tanzania (NBAA)  imewataka wakufunzi wanaofundisha masomo ya Uhasibu kuachana na njia za zamani za kufundishia na kujikita kwenye njia za kisasa…

Read More

AJIOA MWENYEWE UPWEKE WAMSHINDA AJIPA TALAKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwanamitindo mmoja huko London ambaye alijioa mwenyewe mwaka jana hatimaye amewasilisha madai ya talaka baada ya kukaa mwaka mmoja peke yake. Tukio la kustaajabisha lakini hivi majuzi limeenea kwenye mitandao ya kijamii, likimhusisha mwanamke ambaye alijioa kisha kujitaliki baadaye. Suellen Carey, mwanamitindo mwenye umri wa miaka 36 kutoka Brazil, aligonga vichwa vya habari mwaka jana…

Read More

‘’Mauaji yawe mwisho nchini’’ | Mwananchi

Dar es Salaam. Mauaji ya aliyekuwa kada wa Chadema, Ally Kibao aliyezikwa jana jijini Tanga,  yameibua watu mbalimbali,  wanaosema matukio hayo yawe mwisho kutokea nchini. Wamesema licha ya Rais Samia Suluhu Hassan kuelekeza mamlaka za uchunguzi zichunguze matukio ya mauaji, uchunguzi huo usihusishe vyombo vya dola. Kwa mujibu wa wadau hao wa masuala ya haki,…

Read More

Hivi ndivyo kada Chadema alivyotekwa ndani ya basi

Dar es Salaam. Gari mbili zilizokuwa na namba za usajili zisizo za kawaida, ndizo zilizotajwa na mashuhuda kuhusika katika tukio la ukamatwaji wa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, Ali Kibao Ijumaa ya Septemba 6, 2024. Kwa mujibu wa mashuhuda tukio hilo lilitokea saa moja jioni, muda ambao tayari giza lilishaanza kuingia na hakukuwa na aliyekuwa…

Read More

Ilivyokuwa kabla, baada ya maziko ya kada wa Chadema

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa mjumbe wa sekretarieti ya Chadema, Ally Kibao umezikwa eneo la Kijiji cha Tarigube kata ya Togoni mkoani Tanga,  huku ujumbe uliotawala kwa walio wengi ni kulaani na kuchukuliwa hatua  kwa waliohusika na mauaji yake. Kibao, alichukuliwa ndani ya basi la Tashrif jioni ya Ijumaa Septemba 6, 2024, eneo la…

Read More