Majina ya maeneo Zanzibar yanavyoacha watu midomo wazi

Zanzibar ina simulizi na historia inayoweza kumvuta yeyote anayeisikia. Sio simulizi za masaibu ya historia ya siasa kwa wakazi wa kisiwa hicho kikubwa zaidi katika Bahari ya Hindi, lakini hata katika nyanja nyingine ikiwamo ya maendeleo ya makazi. Kwa pamoja, visiwa vya Unguja na Pemba vinavyounda Zanzibar, vina utamaduni wa kipekee wa utoaji majina kwa…

Read More

Rais Mwinyi ataja mafanikio ya ziara yake Indonesia

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amerejea nchini Tanzania akitokea Indonesia huku akitaja maeneo wanayotaka kupata wawekezaji pamoja na biashara zinazoweza kufanywa kati ya mataifa hayo mawili. Maeneo waliyoyalenga kwa uwekezaji Zanzibar ni utalii, mafuta na gesi, bandari, uvuvi, mwani, karafuu na usafirishaji baharini.  Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutua Uwanja wa…

Read More

DKT. BITEKO ASISITIZA MAADILI, WELEDI NA UWAJIBIKAJI KATIKA UNUNUZI WA UMMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezitaka Mamlaka za Udhibiti na Ununuzi wa Umma Afrika Mashariki kuzingatia weledi, maadili na uwajibikaji ili kuleta ufanisi uliokusudiwa. Dkt. Biteko ametoa agizo hilo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa Jukwaa la 16 la Ununuzi…

Read More

Tabora ya mwisho kwa watu wasiojua kusoma na kuandika

Nzega. Mkoa wa Tabora umetajwa kuwa wa mwisho kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wasiojua kusoma na kuandika. Imeelezwa kuwa asilimia 32 ya wakazi wa mkoa huo hawajui kusoma na kuandika, ikilinganishwa na Mkoa wa Dar es Salaam wenye asilimia 2.5 ya watu wasiojua kusoma na kuandika. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Septemba…

Read More

Samia atia neno maadili, uwazi sekta ya ununuzi

Arusha. Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wataalamu wa ugavi na manunuzi kutoka nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuzingatia maadili, uwazi na uwajibikaji ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Pia amewaasa kuongeza tija kwenye miradi ya maendeleo. Amesisitiza kuwa fedha nyingi zinazotumiwa katika nchi za EAC zinatokana na kodi za wananchi, hivyo ni muhimu…

Read More

Mchezo mpya watinga Dar na kauli ya kishujaa

Ukiwa na lengo la kukuza vipaji vya ushujaa, mchezo mpya umezinduliwa jijini Dar es Salaam huku wabunifu wake wakiwataka Watanzania kuupokea kwa kuwa utasaidia kutengeneza vipaji vya kushinda  medali za michezo kama kama Olimpiki. Ni mchezo mpya wa kuruka viunzi katika mbio za mita 100, mita 400 na mita 3000 kuruka viunzi na maji (steeplechase)….

Read More