Mdamu: Asanteni Wanzania, nimeanza maisha mapya

MWAKA huu, Mwanaspoti liliibua mateso ya miguu ya straika wa zamani wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu kuvuja usaha jambo lililowagusa Watanzania kujitoa kuhakikisha anapata matibabu. Katika mwendelezo wa makala, Mwanaspoti lilitafuta msaada wa wataalamu wa afya ili kujua kinachomsumbua lengo likiwa kumsaidia mchezaji huyo kutibiwa. Mwanaspoti lilimtafuta daktari bingwa wa magonjwa ya mifupa kutoka…

Read More

Hezbollah yathibitisha kifo cha kiongozi wake, Nasrallah – DW – 28.09.2024

“Sayyed Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Hezbollah, ameungana na mashahidi wenzake na wafiadini ambao aliwaongoza kwa takribani miaka 30,” ilieleza taarifa iliyotolewa na kundi hilo linaloungwa mkono na Iran. Taarifa hiyo ya Hezbollah imeapa kuendeleza “vita vyake vitakatifu” dhidi ya adui yake Israel, na katika kuiunga mkono Palestina. Mapema jeshi la Israel lilisema Hassan Nasrallah…

Read More

Malkia wa nguvu Mbeya yafana,hawa ndio washindi

Kilele cha tuzo za Malkia wa Nguvu 2024 kanda ya Nyanda za Juu kusini kimekamilishwa kwa Malkia sita wa Nguvu kukabidhiwa tuzo zao kwenye vipengele mbalimbali usiku wa Septemba 27 kwenye ukumbi wa Eden Highland Mbeya huku zikihudhuriwa na Mamia ya Wakazi wa Mbeya wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mh. Beno Malisa. Vipengele…

Read More

Rais Samia acharuka wanaomwita muuaji

Songea. Rais Samia Suluhu Hassan ameupa rungu Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) wa CCM, kuwajibu wanaozungumza vibaya dhidi yake, akisisitiza hawapaswi kuhofia. Samia ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameikabidhi UWT jukumu hilo akisema wakati mwingine mdomo wake pekee na wingi wa majukumu aliyonayo hapati muda wa kuwajibu watu hao. Ameeleza wanapoambiwa Mwenyekiti (Rais Samia)…

Read More

Taasisi za Umma tumieni mfumo wa Nest kwenye manunuzi yenu

WAZIRI wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amezitaka Taasisi za Umma ambazo hazijaanza kutumia Mfumo mpya wa kielektroniki wa manunuzi ya umma wa National – e – Procurement System(Nest) ziwe zimeanza kutumia mfumo huo ili kudhibiti mianya ya fedha za serikali kupotea. Waziri Nchemba ametoa kauli hiyo leo mapema jijini Dar es Salaam wakati akipokea Ripoti…

Read More

Waziri Mwigulu Aelekeza Taasisi za Umma Kutumia Mfumo wa Nest ili Kukuza Ufanisi

  Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amezitaka Taasisi za Umma nchini zinazoshindwa kutumia Mfumo wa Kielektroniki wa Manunuzi ya Umma, National e-Procurement System (Nest), kuanzisha matumizi ya mfumo huu mara moja. Hali hii inafuatia malalamiko ya upoteaji wa fedha za serikali, ambapo mfumo huo unatarajiwa kusaidia kudhibiti mianya hiyo. Akizungumza katika hafla ya kupokea…

Read More

VIDEO: Polisi yanasa mtandao wa mauaji Dodoma

Dodoma. Watu wanne wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mtandao wa mauaji jijini Dodoma. Wanatuhumiwa kusababisha vifo vya watu wanane, huku watano wakijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Waliokamatwa katika mtandao huo unaodaiwa kuhusika katika matukio manne ya mauaji yaliyotokea kati ya Julai mosi na Septemba 16, 2024…

Read More

Wataalamu waja na teknolojia mpya mbegu za mihogo, viazi

  WATAFITI wa kilimo wamejipanga kuzalisha mbegu za muhogo na viazi vitamu, nchini kwa njia ya haraka kwa kutumia teknolojia ya kitalu tanulu (Tunnel system). Watafiti hao ni wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), kituo cha Ukiriguru jijini Mwanza, ambao wameshiriki mafunzo ya matumizi ya teknolojia hiyo katika uzalishaji wa mbegu, yaliyotolewa na…

Read More