Tunahitaji kuishirikisha Urusi kusaka amani Ukraine – DW – 09.09.2024

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz akizungumza na kituo kimoja cha habari nchini aliweka wazi kwamba anaamini wakati umefika wa kuikaribisha Urusi kwenye mazungumzo ya kumaliza vita Ukraine. Scholz alisema yeye pamoja na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine wamekubaliana kwamba Urusi inapaswa kushirikishwa katika mazungumzo yajayo ya kutafuta amani yenye lengo la kumaliza vita hivyo vinavyoendelea.Soma…

Read More

Tatizo la afya ya akili linavyovaliwa njuga

Dar es Salaam. Tatizo la afya ya akili limekuwa likiongezeka kwa kasi, huku sababu mbalimbali zikitajwa kuchangia changamoto hiyo. Kwa kutambua uzito wa suala hili, Benki ya Exim Tanzania imeanzisha tamasha maalum litakalosaidia kutatua changamoto hii. Tamasha hilo, linalojulikana kama Exim Bima Festival 2024, lenye kaulimbiu “Amsha Matumaini”, litafanyika tarehe 28 Septemba 2024 katika viwanja…

Read More

ARFA kuongeza nguvu Mbuni, TMA Stars

WAKATI Ligi ya Championship ikitazamiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni kwa mwezi huu Chama Cha Soka Mkoa wa Arusha (ARFA) imeweka wazi kuwa imejipanga kutoa sapoti ya kutosha kwa timu zake Mbuni FC na TMA Stars ili kufanya vyema na kupanda daraja. Mara ya mwisho kwa Arusha kuwa na timu ya Ligi Kuu ilikuwa ni mwaka…

Read More

Waziri wa afya ataka mpango mkakati kusimamia usafi

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema ili kuepuka magonjwa ya mlipuko ameitaka Idara ya Kinga Wizara ya Afya kuimarisha mpango mkakati wa kusimamia suala la usafi wa mazingira katika majiji makubwa pamoja na maeneo ya mipakani mwa nchi. Waziri Mhagama amesema hayo leo Septemba 9, 2024 wakati wa kikao na Idara ya…

Read More

Doyo aibukia NLD, ateuliwa kuwa Katibu Mkuu

Dar es Salaam. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Doyo Hassan Doyo ameibukia kwenye chama cha National League for Democracy (NLD), akieleza sababu za kuhama chama hicho akiwa mmoja wa waasisi wake. Doyo ambaye Juni 29, 2024 alishindwa kwa tofauti ya kura 51 na Shaban Itutu aliyepata kura 121 katika…

Read More

Kina Magoma wakwaa kisiki dhidi ya Yanga 

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali rufaa ya Juma Ally Magoma na mwenzake Geofrey Mwaipopo waliyokuwa wameikata dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu kama Yanga. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatatu, Septemba 9, 2024 na Naibu wa Mahakama hiyo, Livini Lyakinana kwa niaba ya…

Read More

Wananchi wataka kuimarishwa usimamizi rasilimali za Mto Mara

Musoma. Wakati Tanzania na Kenya zinajiandaa kuadhimisha Siku ya Mto Mara, wakazi wa Mkoa wa Mara wanaoutegemea kwa shughuli za kiuchumi na kijamii, wameomba mamlaka husika kuimarisha usimamizi wa rasilimali zake. Wamesema lengo ni kuhakikisha utajiri huo wa asili unaendelea kuchangia usalama na ustawi wa vizazi vya sasa na vijavyo. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo…

Read More