Mwamnyeto, Mauya wamshika mkono Mdamu

NAHODHA wa Yanga, Bakari Mwamnyeto na rafiki yake, Zawadi Mauya wa Singida Black Stars wamemshika mkono aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu kwa kumchangia Sh1 milioni kupitia mfuko wao wa hisani wa Mwamnyeto Foundation. Akizungumza kwa niaba ya nyota hao, Carlos Sylivester ‘Master  Mind’ ambaye pia ni meneja wa wachezaji hao wakati akikabidhi…

Read More

WATU 14 WAPOTEZA MAISHA KATIKA MASHAMBULIZI YA ANGA YALIYOSHUKIWA KUFANYWA NA ISRAEL DHIDI YA SYRIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Takribani watu 14 wamepoteza maisha katika mashambulizi ya anga yaliyoshukiwa kufanywa na Israel dhidi ya Syria, kulingana na ripoti ya kituo cha habari cha BBC. Mashambulizi haya yalilenga maeneo matano tofauti, ikiwemo kituo cha utafiti wa kisayansi kilichoko katika jimbo la Hama, lililoko magharibi mwa Syria. Ndege za kivita za Israel zilishambulia maeneo ya kijeshi…

Read More

Daraja la Simba, Yanga Caf

Raundi ya kwanza ya mashindano ya klabu Afrika itaanza mwishoni mwa wiki hii ambapo Tanzania itawakilishwa na timu mbili ambazo ni Yanga na Simba na zote zitaanzia ugenini katika mechi ya kwanza na wiki moja baadaye kucheza nyumbani. Baada ya kuitupa nje Vital’O ya Burundi katika raundi ya kwanza kwa ushindi mnono wa mabao 10-0…

Read More

BOEING YAWEKA OFA YA KUPANDISHA MALIPO KWA 25% KUEPUSHA MGOMO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Boeing imewasilisha pendekezo la kuongeza malipo kwa wafanyakazi wake kwa asilimia 25 katika kandarasi ya miaka minne. Hatua hii inalenga kuepusha mgomo ambao unaweza kuzima shughuli za utengenezaji wa ndege ifikapo mwishoni mwa wiki hii. Pendekezo hilo limetokana na mazungumzo kati ya kampuni hiyo na vyama vya wafanyakazi, ambapo viongozi wa vyama wameeleza kuwa mkataba…

Read More

Msuva: Tuliweka kikao na kocha Stars

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva, 30, ameeleza mikakati yake wakati akitua Jamhuri ya Iraq huko Asia Magharibi kwa ajili ya kujiunga timu yake mpya, Al Talaba SC iliyomsajili kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msuva ambaye alikuwa nchini kwa zaidi ya miezi mitatu tangu kumalizika kwa msimu uliopita ambao alikuwa akiichezea Al-Najma  ya Saudi…

Read More

Wanaosema serikali haijafanya kitu wapuuzwe-Nyamoga

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), *Justine Nyamoga* amewataka wananchi wa Kilolo kuwapuuza wanaosema Serikali haijafanya kitu. Amesema ipo miradi mingi ya maendeleo iliyotekelezwa na inayo endelea kutekelezwa na Serikali inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan . Pia Kamati hiyo ya kudumu ya Bunge…

Read More