MKURUGENZI MTENDAJI WA KARATU AKAGUA UJENZI WA NYUMBA YA DAKTARI, AHIDI KUKAMILIKA KWA WAKATI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Juma Hokororo, amefanya ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya daktari katika Kijiji cha Kilimamoja. Kwa sasa, nyumba hiyo ipo katika hatua ya mwisho ya upakaji rangi, na Hokororo alionesha kuridhishwa na maendeleo yaliyofikiwa. Katika ziara hiyo, Hokororo alimuahidi Rais Samia Suluhu Hassan kwamba atahakikisha mradi…

Read More

EDMUNDO GONZÁLEZ AOMBA HIFADHI NCHINI UHISPANIA KUFUATIA MASHTAKA YA UGAIDI NA NJAMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mgombea wa upinzani katika uchaguzi wa urais wa Venezuela, Edmundo González, amekimbilia nchini Uhispania kuomba hifadhi ya kisiasa baada ya serikali ya Venezuela kutoa hati ya kukamatwa dhidi yake. Hati hiyo inamhusisha González na mashtaka ya ugaidi, njama, na makosa mengine yanayohusiana na uchaguzi uliofanyika mwezi Julai. Serikali inadai kuwa González alipanga njama za kuvuruga…

Read More

Watu 48 wafariki dunia, lori la mafuta likiteketea

Nigeria. Takribani watu 48 wamefariki dunia baada ya lori la mafuta kulipuka, muda mfupi baada ya kugongana na gari lingine Kaskazini mwa Nigeria. Kulingana na mamlaka nchini humo, lori hilo la mafuta liligongana eneo la Agaie Kaskazini Kati mwa Jimbo la Niger nchini humo na lori lingine lililokuwa limebeba wasafiri na ng’ombe, 50 kati yao…

Read More

Ngorongoro yazindukia Mikumi | Mwanaspoti

VIPIGO viwili vya michezo ya awali ilivyopata timu ya Ngorongoro imeizindua kwa kupata ushindi wa mikimbio 22  dhidi ya Mikumi katika mchezo  uliopigwa jijini wikiendi iliyopita. Mchezo huu ambao ni maalum kwa  wachezaji wa timu ya taifa ya kriketi, ni sehemu ya maandalizi ya timu hiyo kwa ajili ya michuano ya kufuzu fainali za kombe…

Read More

Mbongo aachiwa msala Bayern Munich

KOCHA wa zamani wa timu ya taifa la Australia, Graham Arnold, ameeleza Nestory Irankunda, kijana mwenye asili ya Tanzania, anatakiwa kuhimili presha ya kuonyesha makubwa akiwa na Bayern Munich. Licha ya historia kuwakataa wachezaji wengi kutoka Australia. Irankunda, ambaye ni winga, amekuwa akizungunguzwa sana huko Australia baada ya kuhama kutoka Adelaide United kwenda Bayern Munich,…

Read More

Fabrice Ngoy ajitafuta upya Namungo | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Namungo raia wa DR Congo, Fabrice Ngoy amesema kwa sasa anahitaji kupambana zaidi ndani ya kikosi hicho, baada ya kupitia changamoto nyingi msimu uliopita ambazo zilimfanya kushindwa kufikia malengo yake binafsi aliyojiwekea. Nyota huyo ambaye msimu huu pekee amecheza mchezo mmoja wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Fountain Gate, aliweka wazi kwa sasa…

Read More

KenGold yaanza upya, Fountain Gate kazi ipo

WAKATI Ken Gold ikitarajia kushuka uwanjani Jumatano uwanjani kuwakabili Fountain Gate, benchi la ufundi limesema halitarajii kuruhusu tena bao badala yake ni kutembeza vipigo baada ya kukisuka upya kikosi. Ken Gold inayoshiriki Ligi Kuu kwa mara ya kwanza haikuwa na mwanzo mzuri baada ya kukandwa kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Singida Black Stars na…

Read More

Askofu Shoo ajitosa sakata la mauaji kada Chadema, CCT yalaani

Moshi. Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) imekemea vitendo vya utekaji, ukatiili na mauaji yanayofanywa na genge la watu wasiojulikana na kulaani tukio la kuchukuliwa  na kuuawa kikatili kwa kada wa Chadema, Ally Kibao. CCT ni Taasisi inayowakilisha Umoja wa Madhehebu ya Kikristo ya Kiprotestanti pia inaundwa na makanisa mbalimbali wanachama na vyama vya Kikristo au…

Read More