Kina Magoma, Yanga mahakamani tena leo, uamuzi utakavyokuwa

Hatima ya uhalali wa rufaa dhidi ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu Yanga, inatarajiwa kujulikana leo Jumatatu, Septemba 9, 2024, wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama…

Read More

Mbeya City yaiota Ligi Kuu

MATOKEO ya ushindi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Real Nakonde ya nchini Zambia, yaliipa matumaini makubwa Mbeya City ikitamba kikosi kipo tayari kwa Championship kuisaka tena Ligi Kuu kwa msimu wa 2025-2026. Timu hiyo ikihitimisha wiki ya kilele cha Mbeya City Day, iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya wapinzani hao na kuwafanya…

Read More

Mkali wa asisti Simba amfurahisha Fadlu Davids

KIUNGO mshambuliaji wa Simba anayeongoza kwa asisti kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, Jean Charles Ahoua amerejea tena uwanjani akiwa fiti kwa asilimia 100 tayari kuivaa Al Ahli Tripoli ya Libya baada ya kuwa nje kwa majerahana kumpa kicheko Kocha Fadlu Davids aliyemtetea pia straika mpya, Lionel Ateba. Ahoua alibainika kupata majeraha madogo ya misuli…

Read More