Utata kifo kada wa Chadema

Dar es Salaam. “Ni utata mtupu,” ndiyo maneno yanayoakisi tukio la kuuawa kwa Mjumbe wa Sekretarieti ya Chadema, Ally Kibao lililotokea siku moja baada ya kukamatwa akiwa kwenye basi kwenda nyumbani kwao mkoani Tanga. Kinachojenga msingi wa utata ni mazingira ya kukamatwa kwake kulikofanyika Tegeta, mbele ya Jengo la Kibo Complex, jijini Dar es Salaam na watu…

Read More

WIKI YA AZAKI KUHAMASISHA JAMII KUSHIRIKI DIRA 2050, UCHAGUZI

Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society FCS- Justice Rutenge, akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Jijini Arusha, kuelekea ufunguzi wa Wiki ya Asasi za Kiraia – AZAKI, inayotarajiwa kuanza rasmi Septemba 9 – 13, 2024 Jijini humo. Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi Wiki ya AZAKI 2024, Nesia Mahenge, akitoa ufafanuzi wa baadhi…

Read More

Wahofia kutoweka kwa miti ya asili

Mwanza. Wakati miti zaidi ya milioni 266.9 ikipandwa mwaka 2023/24 kupitia kampeni ya upandaji na utunzaji wa miti milioni 1.5 kwenye halmashauri zote nchini, Serikali imeshauriwa kusimamia upandaji miti asili ili kuwezesha upatikanaji wa dawa za asili. Akizungumza leo Jumapili Septemba 8, 2024, Profesa Suleiman Mwenda kutoka Shirika la Kimataifa la Revoobit linalojishughulisha na dawa…

Read More

Uchafu wamkera DC Soko la Samaki Kijiweni

Iringa. Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James ameeleza kutoridhishwa na hali ya uchafu katika Soko la Samaki la Kijiweni lililopo Kata ya Kwakilosa, Manispaa ya Iringa, huku akitoa wito kwa wahusika kuchukua hatua za haraka ili kuepusha magonjwa ya mlipuko. Akijibu hoja ya mmoja wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM)…

Read More

Vijana kujadili ushiriki wa michakato ya kidemokrasia

Arusha. Vijana kutoka mikoa mbalimbali nchini wanatarajiwa kujadili ushiriki wao katika michakato ya kidemokrasia kwenye maadhimisho ya sita ya Asasi za Kiraia (Azaki), yanayotarajiwa kuanza kesho jijini hapa. Maadhimisho hayo ya wiki ya Azaki yatafanyika kuanzia Septemba 9 hadi 13, 2024 na yanatarajiwa kuhudhuriwa na washiriki zaidi ya 500. Akizungumza na waandishi wa habari leo…

Read More

Askofu ashangaa makasisi kuukana msalaba, kufuata miujiza

Tabora. Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Maimbo Fabian ameeleza kushangazwa na kasi ya makasisi na vijana kuacha imani ya Kikristo na kukimbilia maombezi ya kupata mafanikio kwa miujiza bila kufanya kazi.  Akizungumza leo Jumapili Septemba 8, 2024, kwenye kongamano la nne la kitaifa la Kanisa la Anglikana Tanzania lililojadili masuala mbalimbali ya kimaendeleo…

Read More

LHRC, ACT-Wazalendo wajitosa mauaji kada wa Chadema

Dar es Salaam. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimetaka uchunguzi wa kina ufanyike kubaini wahusika wa mauaji ya kada wa Chadema, Ally Kibao siku moja baada ya kuchukuliwa na watu wasiojulikana majina yao wala walipotokea. Wito wa LHRC unaungana na wa Chama cha ACT-Wazalendo, kilichohoji maswali kadhaa, ikiwemo nani anayefanya matukio hayo…

Read More