Bank Of Africa Tanzania Yaendesha Mafunzo Ya Biashara Kwa Wateja Wake Kahama.

Na Mwandishi Wetu. BANK of Africa Tanzania , imeendesha semina kwa wajasiriamali wa Kahama mkoani Shinyanga , kupitia kauli mbiu ya “TUKUE PAMOJA” inayodhihirisha mkakati wake wa kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs) nchini Tanzania katika kufanikisha ukuaji wa kifedha na kuimarika kwa biashara zao. Semina hiyo imefanyika hivi karibuni mjini Kahama na imelenga…

Read More

Uongozi chama cha soka wilaya ya Morogoro wavunjwa

Uongozi wa Chama cha Soka Wilaya ya Morogoro (MDFA) umevunjwa kwa kukiuka taratibu za uchaguzi wakati wa kuchagua viongozi hao ambapo zoezi la uchaguzi ulifanyika pasipo mabadiliko ya katiba kuidhinishwa na msajili vya wa vyama vya michezo Taifa. Uongozi wa Chama cha Soka umevunjwa ukiwa umehudumu kwa kipindi cha miezi sita, tayari ukiwa umetekeleza majukum…

Read More

Mama Kanumba: Sijawahi kuangalia filamu za Kamnumba

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mama wa marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa, amesema kwamba hajawahi kuangalia filamu ya mwanae tangu alipofariki kwa sababu zinamletea maumivu ya kihisia. Alieleza hisia zake kwenye Tamasha la Faraja ya Tasnia 2024 lililofanyika Septemba 7, 2024, jijini Dar es Salaam. Tamasha hili lina lengo la kuwaenzi wasanii na wanahabari waliotangulia…

Read More

TMA YAWAKUMBUSHA WAHANDISI KUZINGATIA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI.

WAHANDISI nchini wamekumbushwa umuhimu wa huduma za hali ya hewa sambamba na kuchangia gharama za upatikanaji wa huduma hiyo katika utekelezaji wa miradi yao. Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Dkt. Hamza Kabelwa amesema hayo hivi karibuni katika mada iliyowasilishwa kwenye Mkutano wa 21 wa Wahandisi uliyojumuisha wahandisi wa…

Read More

REA YAENDELEA KUTEKELEZA DHAMIRA YA RAIS SAMIA KWA VITENDO

WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umeanza kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha kila Mwananchi anatumia Nishati Safi ya Kupikia. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy amesema hayo Jijini Dar es Salaam Septemba 08, 2024 wakati wa uzinduzi wa Kipindi maalum…

Read More