Kiungo Prisons arejea na presha ya namba

BAADA ya kupotea kwa muda mrefu uwanjani, kiungo mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Tariq Simba anatarajia kuanza mazoezi mepesi, huku akikiri vita ya namba kikosini. Nyota huyo alijiunga na Maafande hao dirisha dogo msimu uliopita akicheza mechi tano pekee na kuwa nje ya uwanja kufuatia operesheni aliyofanyiwa ya jino. Kwa sasa nyota huyo anaendelea kuuguza majeraha…

Read More

MONGELA AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CHAMA NA WAZEE KATA YA BULUNGWA, HALMASHAURI YA USHETU

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akizungumza na Viongozi wa chama na Jumuiya ngazi ya Kata na Matawi,mabalozi,Wazee maarufu na viongozi wa Kimila katika kata ya Bulungwa,Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga,leo Septemba 8,2024. Mongella anaendelea na ziara yake ya siku saba mkoani Shinyanga yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani…

Read More

WAJASIRIAMALI KUWEZESHWA ZAIDI KUPITIA PROGRAMU YA KUENDELEZA BIASHARA YA WAZAWA YA BARRICK

Mkuu wa wilaya ya Nyang’wale Mhe. Grace Kingalame akiongea katika hafla hiyo. *** Wajasiriamali 150 kutoka wilaya za Kahama,Nyang’hwale na Msalala wamehitimu mafunzo ya siku 10 ya biashara kupitia Kupitia Programu ya Kuendeleza Biashara za Wazawa (Local Business Development Program) inayotekelezwa na Mgodi wa Dhahabu wa Barrick Bulyanhulu, yaliyolenga kuwajengea uwezo na kuwasaidia waweze kunufaika…

Read More

Mpina aliamsha jimboni amtaka DED, DC kurejesha Sh50 milioni za wananchi

Mwanza. Baada ya mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kusimamishwa bungeni, sasa amegeukia jimboni kwake ambako amewavaa Mkuu wa Wilaya ya Meatu Fauzia Ngatumbura na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meatu, Athuman Masasi kuhusu Sh50 milioni zilizodaiwa kuchukuliwa kwa wananchi waliotozwa faini kwa kutokuwa na vyoo. Mpina amewaka wakuu hao warejeshe fedha hizo zilizodaiwa kuchukuliwa kwa wananchi…

Read More

Mwenda kazi anayo Singida Black Stars

NYOTA mpya wa Singida Black Stars, Israel Mwenda amewasili rasmi ndani ya kikosi hicho baada ya hivi karibuni kuibuka mgogoro wa kimaslahi baina ya pande zote mbili zilizosababisha beki huyo kushindwa kuwasili kambini kwa muda muafaka, huku akikabiliwa na kazi nzito ya kuliamsha kikosini. Mwenda aliyesajiliwa na Singida msimu huu akitokea Simba aliyoitumikia kwa misimu…

Read More

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UWEKEZAJI KIWANDA CHA MKULAZI

  Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatuma Toufiq akizungumza wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua maendeleo ya mradi wa uzalishaji Sukari wa Mkulazi Holding Company, Mbigiri Mkoani Morogoro. ….. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Fatma Toufiq amepongeza…

Read More

Kocha JKT TZ kupambana na haya!

KOCHA Mkuu wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema, anafurahishwa na mwenendo wa kikosi hicho japo jambo analolifanyia kazi katika kipindi hiki cha kupisha michezo ya kimataifa ni kutengeneza balansi kwenye eneo la kujilinda na kushambulia. Kocha huyo aliyejiunga na kikosi hicho msimu huu baada ya kuachana na Tanzania Prisons alisema, wachezaji wengi ni wapya ndani…

Read More