Ushindi wampa ahueni Zahera | Mwanaspoti

USHINDI wa bao 1-0 iliyopata Namungo jana Jumamosi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Ligi Championship, Mbeya Kwanza umemfanya ahueni kocha wa kikosi hicho, Mwinyi Zahera aliyesema amepata mwanga katika jukumu alilonalo la kubadili upepo mbaya wa matokeo katika Ligi Kuu Bara. Licha ya kuonekana kucheza soka safi, Namungo imejikuta ikianza vibaya msimu…

Read More

Watumia miaka miwili kujenga daraja la Sh10 milioni

Tabora. Wananchi wa Kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, wamefanikiwa kukamilisha ujenzi wa daraja lenye urefu wa futi 12 na upana wa futi 10 kwa gharama ya Sh10 milioni baada ya watu kusombwa na maji katika eneo hilo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Septemba 8, 2024, Diwani wa Chemchem, Kasongo Risassi amesema waliamua kuchukua hatua…

Read More

MTOA HUDUMA ZA AFYA ATAKAYESABABISHA KIFO CHA MGONJWA KWA UZEMBE NITAMTENGUA – MHE. MCHENGERWA

NA MWANDISHI WETU, PWANI. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI),Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema, yeyote atakayeshiriki kufanya uzembe katika vituo vya afya, zahanati na hospitali nchini atachukuliwa hatua kali. Ameyasema hayo Septemba 7,2024 katika Hospitali ya Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa na…

Read More

DPP atia mguu shangingi la wahamiaji haramu

Dar es Salaam.  Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), amewasilisha pingamizi mahakamani akipinga maombi ya Mtanzania aishie Afrika Kusini, Jackson Ngalya anayedai gari lililokamatwa na wahamiaji haramu mkoani Kilimanjaro ni mali yake. Katika pingamizi hilo, DPP ameiomba Mahakama isisikilize maombi ya msingi na badala yake iyatupilie mbali kutokana na kugubikwa na kasoro za kisheria. Gari hilo…

Read More

Wanawake Benki ya Stanbic wanavyokua kiuongozi, chachu yatajwa

Dar es Salaam. Katika kukuza idadi ya wanawake katika nafasi za maamuzi, Benki ya Stanbic imetaja mradi wake wa ‘kuwasha’ kuwa chachu katika kuibua talanta za uongozi kwa jinsia hiyo. Ujumuishi wa wanawake katika nafasi hizo hasa katika sekta ya fedha unatajwa kuongeza ubunifu na maamuzi sahihi. “Uongozi unaozingatia ujumuishi wa jinsia, huboresha ubunifu na…

Read More

Wadau wafunguka kiini cha mauaji nchini

Dar es Salaam. Wimbi la vitendo vya mauaji katika siku za hivi karibuni, limehusishwa na kukithiri kwa matatizo ya afya ya akili, mmomonyoko wa maadili, uelewa duni wa namna ya kuishi, huku umasikini uliopitiliza nao ukitajwa kama moja ya sababu. Kwa mtazamo wa kisaikolojia, wanazuoni wanasema vitendo hivyo ni dalili ya jamii kupunguza uwezo wa…

Read More

Chama la Lunyamila hali tete Mexico

CHAMA la Mazaltan anayoichezea Mtanzania Enekia Lunyamila limeanza msimu vibaya kwa kupoteza michezo sita kati ya saba iliyocheza ya ligi. Lunyamila alijiunga na timu hiyo msimu huu akitokea Eastern Flames iliyokuwa inashiriki Ligi Kuu ya Saudi Arabia na alifunga mabao saba, timu hiyo ikimaliza nafasi ya saba kati ya nane. Tangu kiraka huyo atambulishwe Mazaltan…

Read More

Yanga, Simba mpango mmoja ugenini

Katika kuhakikisha nyota wake wanaozitumikia timu za taifa wanaziwahi mechi zao za ugenini za mashindano ya klabu Afrika wiki ijayo, Yanga na Simba zimepanga utaratibu wa wachezaji hao wanaungana na vikosi vyao moja kwa moja wakitokea katika majukumu ya timu zao za taifa na sio kuondoka nao pamoja kutokea hapa Dar es Salaam. Kwa sasa…

Read More