BILIONI 15 KUSAMBAZA UMEME KATIKA VITONGOJI 105 MKOA WA ARUSHA 

  MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya mkoa wa Arusha SEHEMU ya wananchi wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda (hayupo pichani) ,akizungumza  mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji…

Read More

#SERENGETIOKTOBAFEST 2024, IMERUDI TENA

  Mabibi na mabwana, Wapenda bia, Wapenda vibe, na wapenzi wa tamaduni za Kitanzania, Tamasha kubwa la Serengeti Oktoberfest lililokuwa likisubiriwa kwa hamu sana limerejea, na mwaka huu, UKUBWA NA UBORA wa #SerengetiOktobaFest2024 haukuwahi kutokea Kabla!. Mwezi huu wa Oktoba, #SerengetiOktobaFest itakuwa sherehe kubwa itakayoangazia uhalisia wa Mtanzania na kuamsha uhai wa utamaduni wa Kitanzania…

Read More

Wananchi Mbeya walia na ubovu wa barabara

Mbeya. Wakazi wa vijiji vya Mwela na Shango Wilaya ya Mbeya wamelalamikia ubovu wa miundombinu barabara kuwa chanzo cha kukwamisha shughuli za kiuchumi na baadhi ya wajawazito kujifungulia njiani. Barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 22 kutoka Isyonje Wilaya ya Mbeya kwenda Kikondo Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe,  ni tegemeo kubwa kwa wananchi kufuata…

Read More

Jinsi 4R zitakavyoimarisha uchaguzi  | Mwananchi

Dodoma. Septemba 16, 2024, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa alisema wizara imejiandaa kuhakikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa unakuwa huru na wa haki katika misingi ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan. Mchengerwa alitoa kauli hiyo  akitangaza vijiji 12,333, mitaa 4,269 na vitongoji 64,274…

Read More

Polisi yanasa mtandao wa mauaji Dodoma

Dodoma. Watu wanne wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mtandao wa mauaji jijini Dodoma. Wanatuhumiwa kusababisha vifo vya watu wanane, huku watano wakijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Waliokamatwa katika mtandao huo unaodaiwa kuhusika katika matukio manne ya mauaji yaliyotokea kati ya Julai mosi na Septemba 16, 2024…

Read More

MAELEZO MUHIMU KUPATA VIONGOZI WA MITAA 181.

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Mhandisi Juma Hamsini, ametoa maelezo muhimu kwa umma kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, utakaofanyika tarehe 27/11/2024, kwa lengo la kuhakikisha kuwa taratibu zote zinafuatwa, na Wapiga Kura pamoja na wagombea wanapata taarifa zote zinazohitajika kwa wakati. Maelekezo haya yanafafanua hatua zitakazoongoza mchakato wa uchaguzi, kuanzia…

Read More