Moshi. Mamia ya waombolezaji katika Kijiji cha Marin’ga, mkoani Kilimanjaro wamefurika kuaga miili ya watu wawili kati ya watatu, akiwemo mama na mwanawe waliofariki dunia
Month: September 2024

MKUU wa Mkoa wa Arusha Mhe.Paul Makonda,akizungumza na wananchi wakati mara baada ya kumkabidhi Mkandarasi tenda atakayetekeleza mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji vya

Mabibi na mabwana, Wapenda bia, Wapenda vibe, na wapenzi wa tamaduni za Kitanzania, Tamasha kubwa la Serengeti Oktoberfest lililokuwa likisubiriwa kwa hamu sana limerejea,

Mbeya. Wakazi wa vijiji vya Mwela na Shango Wilaya ya Mbeya wamelalamikia ubovu wa miundombinu barabara kuwa chanzo cha kukwamisha shughuli za kiuchumi na baadhi

Dodoma. Septemba 16, 2024, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa alisema wizara imejiandaa kuhakikisha uchaguzi

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umeendelea kutekeleza kwa vitendo maelekezo ya Serikali pamoja na Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia baada

Dodoma. Watu wanne wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mtandao wa mauaji jijini Dodoma. Wanatuhumiwa kusababisha vifo vya watu wanane, huku watano wakijeruhiwa

Na Mwandishi Wetu Halmashauri ya Jiji la Tanga imefungua dirisha la utoaji mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani Kwa kina mama, vijana na

Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga, Mhandisi Juma Hamsini, ametoa maelezo muhimu kwa umma kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa, utakaofanyika tarehe

Mratibu Taifa wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusiana na Kongamano la Kimataifa la