
Sudan yakataa kikosi cha Umoja wa Mataifa – DW – 08.09.2024
Vita hivyo vilivyoanza mwezi Aprili mwaka jana kati ya jeshi rasmi na wanamgambo wa Kikosi cha Dharura (RSF) vimepoteza maisha ya maelfu ya watu na kusababisha mojawapo ya majanga mabaya kabisa ya kibinaadamu kuwahi kushuhudiwa kwa miaka ya karibuni. Wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa walisema siku ya Ijumaa (Septemba 6) kwamba kikosi chao cha…