Polisi wanawake waitambia Magereza kikapu

Wakati michezo ya majeshi ikiendelea katika viwanja mbalimbali ndani ya Manispaa ya Morogoro, timu ya  Polisi ya wanawake imeibuka na ushindi wa point 61 -58 dhidi ya timu ya wanawake ya Magereza. Mchezo huo umechezwa jioni ya Septemba 7 katika uwanja wa Bwalo la umwema. Akizungumza mara baada ya mchezo huo, kocha wa Polisi, Nasri…

Read More

Miili ya mama, mwana waliobakwa kuuawa yaagwa

Dodoma. Miili ya mama Mwamvita Mwakibasi (33) na mtoto wake, Salma Ramadhan (13) imesafirishwa leo Septemba 7, 2024 kwenda Kiteto mkoani Manyara kwa ajili ya maziko Wawili hao waliuawa usiku wa kumkia jana Septemba 6, 2024 na watu wasiojulikana nyumbani kwao na kubakwa, Mtaa wa Muungano A katika kata ya Mkonze, Wilaya ya Dodoma mkoani…

Read More

Bangala bado hali tete Azam FC

BEKI wa kati wa Azam FC, Yannick Bangala atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya wiki moja baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja, ‘Hamstring’, wakati wa mchezo wao wa mwisho wa suluhu baina ya timu hiyo na JKT Tanzania Agosti 28, mwaka huu. Daktari wa Azam FC, Mbaruku Mlinga, aliliambia Mwanaspoti, Bangala kwa…

Read More

Stars yaifuata Guinea kibabe | Mwanaspoti

KIKOSI cha Taifa Stars kiliondoka nchini leo kwenda Ivory Coast kwa ajili ya mchezo wa pili wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 utakaopigwa keshokutwa dhidi ya Guinea, huku kocha akiamini watafanya vizuri. Stars itaingia katika mchezo huo wa Kundi H, ikiwa na kumbukumbu ya suluhu nyumbani mbele ya…

Read More

Yondani bado anasikilizia kwanza | Mwanaspoti

BAADA ya kutumika zaidi ya miaka 10 mfululizo, beki  wa zamani wa Simba na Yanga, Kelvin Yondani amesema amejipa likizo ya muda kujihusisha na masuala ya soka, ila hajaamua kustaafu kwa sasa, huku akikiri Ligi Kuu Bara kwa sasa imekuwa na ubora na ushindani mkubwa akiitaja Yanga na moto iliyonayo. Beki huyo wa kimataifa wa…

Read More

Miili ya wawili waliofariki dunia ajali Morogoro yatambuliwa

Morogoro. Miili ya watu wawili kati ya wanne waliofariki kwenye ajali iliyohusisha magari matatu mkoani Morogoro, imetambuliwa ambapo dereva wa basi lililosababisha ajali hiyo tayari ameshakamatwa na anaendelea kuhojiwa. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo Septemba 7, 2024, Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Yohana Mjengi ametaja majina ya miili iliyotambuliwa kuwa ni…

Read More

Championship kuna vita nzito | Mwanaspoti

KILA msimu wa Ligi ya Championship inazidi kuwa tamu, ubora unaongezeka na hata wafuatiliaji wanaongezeka pia. Ligi hiyo inashirikisha timu 16 ambazo kwa sasa ziko mkao wa kula zikisubiri kuanza msimu mpya wa 2024/25 mwishoni mwa mwezi huu na vita itakuwa ni kuwania kupanda Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026. Kuna mzuka mwingi katika ligi…

Read More

ACT-Wazalendo yakosolewa uteuzi baraza kivuli

Unguja. Baada ya Chama cha ACT-Wazalendo kutangaza baraza kivuli la wasemaji wa wizara 16 Zanzibar, kati yao nafasi ya usemaji mwanamke ikiwa moja, wanaharakati na wadau wamekishauri chama hicho kurejea upya uteuzi huo ili kizingatia usawa wa kijinsia. Katika baraza hilo lililotangazwa Septemba 6, 2024, wizara moja ya Maendeleo ya Wanawake, Watoto na Makundi Maalumu…

Read More