KILICHOMPOZA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amefichua sababu zilizomfanya serikali kumfukuza nchini mchungaji maarufu anayejulikana kama ‘Kiboko ya Wachawi.’ Kwa mujibu wa Masauni, mchungaji huyo aliondolewa nchini baada ya kukiuka sheria za usajili na kushiriki katika vitendo vilivyo kinyume na mafundisho ya dini. Waziri Masauni amesema kuwa ameshuhudia mchungaji huyo, ambaye kwa…

Read More

Dawa za binadamu zakamatwa zikiingizwa Zanzibar kinyemela

Unguja. Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) kwa kushirikiana na wakaguzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Amani Abeid Karume (AAKIA), wamekamata mabegi manne yenye dawa za binadamu zisizo salama kwa matumizi. Dawa hizo ambazo thamani yake haijajulikana wala mmiliki wake, zimesafirishwa kutoka nchini India kwa kutumia Shirika la Ndege la Ethopia. Akitoa…

Read More

Simba, Yanga zashusha presha kwa mastaa kimataifa

HAUTOKOSEA ukisema Yanga na Simba zimefanya uamuzi wa kiufundi unaoweza kuwa na faida kwao kwenye mechi za kwanza za raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika na zitacheza ugenini mwishoni mwa wiki ijayo. Ijumaa, Simba itakuwa Libya kuvaana na Al Ahli Tripoli ya huko kwenye Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More

Majeruhi ajali iliyoua 12 Mbeya asimulia

Mbeya. Mmoja wa majeruhi katika ajali ya basi iliyoua watu 12 mkoani Mbeya, Frank Mwakibolwa amesimulia namna ajali hiyo ilivyotokea na kujeruhi watu 44, naye akipoteza fahamu mara moja kabla ya kujikuta yuko hospitali. Mwakibolwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya baada ya kunusurika kifo kwenye ajali ya basi la kampuni ya A-N…

Read More

MONGELLA ATETA NA VIONGOZI WA MASHINA/MATAWI KAHAMA

John Mongella, Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, akizungumza na viongozi wa mashina na matawi ya CCM katika Halmashauri ya Msalala, mkoani Shinyanga. Mongella, ambaye pia ni mlezi wa chama kwa mkoa huo, yupo katika ziara ya siku saba inayolenga kukagua uhai wa chama na kuhakikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM ya…

Read More

DJ KAYGEE TAKES THE STAGE AT 1245 – MWANAHARAKATI MZALENDO

  The buzz from last weekend’s Piano Sunday at 1245 in partnership with Serengeti Breweries (SBL), is still reverberating through the city. As promised, the night was nothing short of spectacle, featuring a dazzling array of entertainment and indulgence.   The first celebration happened on the 1st September. Courtesy of Johnnie Walker Gold Label, it…

Read More

Kiu ya haki inavyompatia Madeleka mamilioni

Dar es Salaam. Hatua ya baadhi ya wananchi kujitokeza na kumchangia mamilioni ya Shilingi Wakili maarufu, Peter Madeleka kwa ajili ya kuendelea na kesi ya anayetajwa ‘afande’ jijini Dodoma, imeelezwa kuwa inaonyesha kiu ya haki ilivyo kubwa miongoni mwa wananchi. Shauri hilo la malalamiko namba 23627 dhidi ya Fatma Kigondo anayetajwa kama ‘Afande’, lilifunguliwa na…

Read More