DKT. BITEKO AKUTANA NA BALOZI MPYA WA UINGEREZA NCHINI

Tanzania na Uingereza Kuimarisha Ushirikiano katika Sekta ya Nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko Septemba 6, 2024 jijini Dodoma amekutana na kufanya mazungumzo na balozi mpya wa Uingereza nchini. Mhe. Marianne Young. Lengo la mazungumzo hayo likiwa ni kujitambulisha…

Read More

KANALI KOLOMBO-JKT HAKUNA UONEVU – MICHUZI BLOG

Mgeni rasmi kwenye sherehe za kufunga mafunzo ya mujibu wa sheria Oparesheni miaka 60 ya Muungano Kanali Kolombo  akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa  wa JWTZ  pamoja na baadhi ya wahitimu  wa mafunzo 06,Septemba, 2024 Kanali  Kolombo akishikana mkono na mkufunzi kwenye sherehe za kufunga mafunzo ya mujibu wa sheria Oparesheni miaka 60 iliyofanyika…

Read More

Serikali yataja sababu ya kumtimua Kiboko ya Wachawi

Dar es Salaam. Serikali imeweka wazi sababu ya kumfukuza nchini Kiongozi na Mchungaji wa Kanisa la Christian Life, Domique Dibwe maarufu kama Kiboko ya Wachawi, ikiwemo kukiuka misingi na mafundisho ya vitabu vitakatifu. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 7, 2024 na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akifunga makambi yaliyoandaliwa na…

Read More

Yule Mmorocco wa Azam atua mchana wa leo

UNAKUMBUKA Mwanaspoti mapema wiki hii tuliwajulisha juu ya mipango waliyonayo Azam FC ya kumleta Kocha wa zamani wa Raja Casablanca na klau nyingine kadhaa, Rachid Taoussi? Basi hivi unavyosoma, jamaa keshatua nchini leo mchana tayari kuanza kazi na klabu hiyo. Azam ilikuwa ikimalizana na kocha huyo ikielezwa atapewa mkataba wa miaka miwili kuchukua nafasi ya…

Read More

Majeruhi 32 wa ajali iliyoua 12 Mbeya waruhusiwa

Mbeya. Majeruhi 32 kati ya 44 katika ajali ya basi la kampuni ya A-N Classic wameruhusiwa baada ya kupewa matibabu na afya zao kuridhisha huku wengine 12 wakiendelea kupatiwa matibabu zaidi. Wakati majeruhi hao wakirudi nyumbani, watoto wachanga waliopoteza wazazi wao katika ajali hiyo nao wamechukuliwa na ndugu zao. Jana, alfajiri ya Septemba 6, 2024,…

Read More

Viongozi wamuelezea Machumu, afunguka kuhusu hofu yake

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wa siasa na Serikali wamezungumza namna walivyomfahamu aliyekuwa Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu katika hafla ya kumuaga. Viongozi wa kisiasa waliohudhuria hafla hiyo iliyofanyika jana (Septemba 6, 2024) ni pamoja na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na aliyekuwa Kiongozi Mkuu…

Read More