
Wahandisi wapata matumaini mapya Matumaini ya Wahandisi ya kujiimarisha
Na Chalila Kibuda,Michuzi. Jukwaa la usimamizi wa mtandao Tanzania Internet Governance Forum(TzIGF) limesema kuwa kuna umuhimu wa kuangalia sera ya nchi katika masuala ya mitandao kutokana na Mapinduzi ya Teknolojia zinaweza kuwa zimepitwa na wakati. Wakizungumza katika Jukwaa lililoandaliwa na Taasisi ya internet Society Tanzania Chapter(ISOC-TZ) lililokutanisha vijana na wadau mbalimbali walisema Teknolojia…