Waganga wetu kumbe nao wamerogwa

Amini usiamini katika miaka ya nyuma watu waliokuja kujitafuta mjini waliogopa kurudi vijijini walikozaliwa. Kulikuwa na kitisho cha imani za ushirikina hivyo waliogopa kurogwa. Waliomudu kwenda huko walihakikisha wanabeba magunia ya sukari kwa ajili ya kugawa kwa wanakijiji.  Waliogopa kuonekana wanaringia mafanikio yao, na kwamba wangerudishwa kwenye statasi za wenyeji hata kwa kutiwa uchizi. Hali…

Read More

DKT. BITEKO ATETA  NA BALOZI MPYA WA UINGEREZA NCHINI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko, akizungumza na balozi mpya wa Uingereza nchini. Mhe. Marianne Young jijini Dodoma. *Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko jijini Dodoma amekutana na kufanya mazungumzo na balozi mpya wa Uingereza…

Read More

Djuma Shaban atimkia Ufaransa | Mwanaspoti

BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban anayekipiga Namungo kwa sasa, ametimka nchini kwenda Ufaransa, huku akifunguka kilichofanya aende huko akiwa amepewa muda wa wiki moja kabla ya kurejea kikosini kuungana na wenzake kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara. Djuma aliyewahi kuitumikia AS Vita ya DR Congo kabla ya kutua Yanga misimu mitatu iliyopita,…

Read More

Abdulla ahimiza michezo kudhibiti uhalifu

Morogoro. Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema michezo imekuwa ikisaidia kudhibiti vitendo vya uhalifu, ujambazi na utumiaji wa dawa za kulevya na hivyo ameagiza kuimarishwa kwa timu za majeshi kwa kuhusisha timu mbalimbali. Akifungua michezo ya majeshi inayofanyika Morogoro kuanzia Septemba 6 hadi 15, Makamu huyo wa…

Read More

Freddy Michael kumchomoa Musonda Yanga

IMEFICHUKA kuwa, aliyekuwa mshambuliaji wa Simba, Freddy Michael  ameshindwa kujiunga na USM Alger ya Algeria kwa kigezo cha kutowahi kuichezea timu ya taifa, lakini mwenyewe amezima uvumi kwamba yupo nchini akivizia dirisha dogo ili ajiunge na Yanga kuchukua nafasi ya Kennedy Musonda. Inadaiwa, ili uweze kucheze soka la kulipwa Algeria ni lazima angalau umepita timu…

Read More

Simba yaweka mikakati CAF, Mo ahusishwa mchongo wote

SIMBA inatarajiwa kuvaana na Al Ahli Tripoli ya Libya katika mechi za raundi ya pili za michuano hiyo ikianzia ugenini wikiendi ijayo kabla ya kurudiana nao baada jijini Dar es Salaam na mshindi wa jumla ataenda makundi ili kuanza msako wa ubingwa unaoshikiliwa kwa sasa na Zamalek ya Misri. Mafanikio makubwa kwa Simba kwenye Kombe…

Read More

Bacca, Job watingisha Mamelodi, Al Ahly

KAMA wewe ni beki wa kati unaitumikia klabu nyingine iwe ndani au nje ya nchi, kisha ukifuatwa na yeyote na akakuambia kwamba Yanga inataka kukusajili usimuamini sana mtu huyo, kwani huenda ni matapeli. Si huwa mnaona tangazo linaloandikwa katika kuta za nyumba ambayo haiuzwi likitanguliwa na onyo lisemalo; ‘Ogopa Matapeli….NYUMBA HII HAIUZWI’. Basi hivyo ndivyo…

Read More