
TANESCO SHINYANGA YATOA ELIMU KWA WANANCHI WA VIJIJI VINAVYOPITIWA NA MRADI WA REA
Afisa Usalama TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Paul Maisori akitoa elimu kuhusu usalama wa miundombinu ya umeme katika kijiji cha Ishiki kata ya Iyenze Halmashauri ya Manispaa ya Kahama Afisa Usalama TANESCO Mkoa wa Shinyanga, Paul Maisori Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Shinyanga limefanya ziara na…