
Rais Samia ampandisha cheo ACP Dora
IGP Wambura amemvisha cheo hicho baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan kumpandisha cheo Septemba 5,2024.
IGP Wambura amemvisha cheo hicho baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dk. Samia Suluhu Hassan kumpandisha cheo Septemba 5,2024.
Kagera. Upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) umewasilisha maelezo ya ushahidi katika hatua ya awali, ukieleza utakuwa na mashahidi 52 na vielelezo 37. Katika maelezo hayo ya ushahidi, mmoja wa mashahidi ameeleza mbinu iliyotumiwa na washtakiwa kumpora mtoto huyo na kutokomea, pia ikitajwa ahadi ya gari aina…
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ifikapo mwezi Desemba,2024 kuwachukulia hatua za kisheria kwa wamiliki wa Viwanda na wazalishaji wa bomba (holepipes) wanaokiuka sheria za viwango vinavyowekwa na Shirika hilo ikiwemo kuteketeza bidhaa hizo na gharama za uteketezaji zitakuwa chini ya mmiliki wa bidhaa hizo. Ameyasema hayo…
FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ametoa siku tano kwa aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Kanda ya Nyassa, Mchungaji Peter Msigwa, kuomba radhi na kulipa fidia ya Sh. 5 bilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mbowe anadai kiasi hicho cha fedha kwa madai ya kukashifiwa na kuvunjiwa…
Dar es Salaam. Kanisa jipya la Anglikana lijulikanalo kama Episcopal Anglican Province Tanzania linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 15 Kongwa mkoani Dodoma. Kuzinduliwa kwa kanisa hilo kunatajwa kutawapa chaguo waumini wote wa Anglikana kuamua waabudu kanisa lipi kati ya hili jipya na lililopo nchini. Kuanzishwa kwa kanisa hili kunatajwa kurejesha na kusimamia misingi ya Kanisa la Anglikana…
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, leo Septemba 6, 2024, amekutana na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Shinyanga mjini, wajumbe wa baraza la jumuiya, na mabalozi katika ukumbi wa CCM Wilaya ya Shinyanga mjini. Mkutano huo ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa CCM pamoja na viongozi wa serikali,…
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania ( TANAPA) limezindua rasmi msimu wa nne wa kampeni ya Twendezetu kileleni 2024, ili kuhamasisha Watanzania kupanda mlima Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhuru wa Tanganyika. Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 6, 2024, jijini Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Kitengo cha Maendeleo ya Biashara TANAPA,…
Ni siku nyingine ya kufurahia uwepo wa kampuni bingwa ya michezo ya kubashiri Meridianbet kwani leo unaweza kuendelea kushinda mamilioni kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa leo. Michezo mbalimbali itaendelea ikiwemo michuano ya Uefa Nations League, michuano ya kufuzu Afcon mwaka 2025, Lakini pia michuano ya kufuzu kombe la dunia mwaka 2026 kwa upande…
Dar es Salaam. Ushirikishwaji wa vijana na watu wenye ulemavu ni miongoni mwa mambo yaliyopendekezwa na yatakayowasilishwa katika mkutano wa Umoja wa Mataifa uitwao Summit of the Future, utakaofanyika nchini Marekani Septemba 22 hadi 23, 2024. Hayo yameelezwa leo Septemba 6, 2024 wakati wa ukusanyaji maoni ya kupeleka kwenye mkutano huo unaohusisha asasi za kiraia,…
Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Beijing China. Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla, amesema Wizara hiyo ipo tayari kushirikiana na wawekezaji mbalimbali wa katika ya Mawasiliano walioonesha nia ya kuwekeza nchini. Amesema hayo tarehe 06 Septemba, 2024 jijini Beijing, nchini China mara baada ya kushiriki mazungumzo kati…