
SERIKALI YATAMBUA MCHANGO WA NGOs KUKUZA UCHUMI WA TAIFA
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko,akizungumza wakati akifunga Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali lililofanyika leo Septemba 6,2024 jijini Dodoma. Baadhi ya washiriki wakisikiliza hotuba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko,(hayupo pichani) wakati akifunga Jukwaa la Mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali…