MKURUGENZI NIRC ATOA MAAGIZO KWA WAKANDARASI WANAOJENGA SKIMU YA MKOMBAZI

Mwandishi Wetu,Iringa MKURUGENZI Mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Raymond Mndolwa amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi mkoani Iringa kuongeza kasi ujenzi wa miradi hiyo ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unanufaisha wakulima katika msimu ujao. Pia amewataka wakandarasi hao kuwa na mkakati wa kumaliza ujenzi wa miradi hiyo hadi kufikia…

Read More

Yanga Princess yaongeza kiungo Mnigeria

YANGA Princess imekamilisha usajili wa kiungo raia wa Nigeria, Adebisi Ameerat kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Hapoel Petach Tikva. Mchezaji huyo ambaye ana uwezo wa kucheza kama kiungo mshambuliaji, kiungo mkabaji na pembeni, amesajiliwa akitokea Hapoel Petach Tikva ambayo inashiriki Ligi Kuu Israel. Chanzo kimeliambia Mwanaspoti kuwa, tayari mchezaji huyo yupo nchini kwa ajili…

Read More

Wanafunzi 70 wa Hillside Endarasha hawajulikani walipo – DW – 06.09.2024

Wanafunzi 70 hawajulikani walipo kufuatia mkasa wa moto ulioteketeza bweni la shule ya msingi ya Hillside Endarasha iliyoko kaunti ya Nyeri. Hayo yamesemwa na makamu wa rais Rigathi Gachagua. “Wanafunzi 70 bado hawajulikani walipo – hiyo haimaanishi kuwa wamefariki au wamejeruhiwa. Neno sahihi ni kwamba hawajulikani walipo,” Gachagua amewaambia waandishi wa habari leo nje ya…

Read More

Kauli za Msigwa zilizomuibua Mbowe kudai fidia ya Sh5 bilioni

Tanga. Uamuzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kutangaza nia ya kumburuza mahakamani Mchungaji Peter Msigwa kutokana na kauli dhidi yake, umemwibua mchungaji huyo akisisitiza baadhi ya kauli hizo, na kuwa yuko tayari kukutana naye mahakamani. Mchungaji Msigwa alijivua uanachama wa Chadema Juni 30, 2024 na kuhamia CCM na tangu…

Read More

Fountain Gate yatesti mitambo | Mwanaspoti

KIKOSI cha Singida Fountain Gate kilichopo Ligi Kuu Bara, leo Jumamosi kinashuka kwenye Uwanja wa nyumbani wa Tanzanite Kwaraa uliopo Manyara ili kutesti mitambo dhidi ya maafande wa Mbuni waliopo Ligi ya Championship. Mechi hiyo inatumiwa na timu zote kujiandaa na mechi zao za ligi inazoshiriki, Fountain ikijiandaa kuipokea KenGold ya Mbeya mchezo utakaopigwa Septemba…

Read More

Madhehebu mapya ya Ukristo wa Afrika kuanzishwa

Dar es Salaam. Wakati dini ikihusishwa na utamaduni wa eneo ilipoanzia, Mwinjilisti Silvanus Ngemera (67) ameanza mchakato kuanzisha madhehebu mapya ya Kikristo yatakayorejesha utamaduni wa Mwafrika. Madhehebu hayo yatakayoitwa African Orthodox Derekh yanalenga kupambana na mmomonyoko wa maadili, kuachana na dhambi, pamoja na kuuishi utamaduni wa asili ya Mwafrika. Mwinjilisti Ngemera amesema Waafrika wanapaswa kutambua…

Read More

Kongo yafutilia mbali mradi wa vitambulisho vya elektroniki – DW – 06.09.2024

Richard Ilunga, mkurugenzi mkuu wa Ofisi ya Kitaifa ya Utambulisho wa Idadi ya Watu nchini Kongo, ONIP, amesema kuwa mradi huo ulifutiliwa mbali kufuatia mkutano wa Agosti 12, uliohusisha mashirika mbalimbali ya serikali na wawakilishi kutoka kampuni zinazoshirikiana za Idemia-Afritech, lakini aliposhinikizwa, alikataa kutoa sababu za kufutiliwa mbali kwa mkataba huo. Matokeo ya uchunguzi wa…

Read More