Wizara ya Uchukuzi yatakiwa kusimamia huduma SGR

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu , Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Uchukuzi iendelee kulisimamia kwa karibu Shirika la Reli Tanzania (TRC) na kuhakikisha huduma za treni ya SGR zinaboreshwa na miundombinu inaimarishwa ili mradi huo uweze kudumu kwa muda mrefu. Amesema katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali itaendeleza sekta ya uchukuzi ambapo pamoja na mambo mengine itasimamia…

Read More

Abdi Banda arejea Baroka | Mwanaspoti

BEKI Abdi Banda amerejea katika kikosi cha Baroka cha Afrika Kusini alichokitumikia akitokea Richards Bay. Nyota huyo mara ya kwanza alijiunga na Baroka akitokea Simba Julai 12, 2017 na sasa amerejea tena baada ya awali dili lake la kujiunga na Singida Black Stars ya Ligi Kuu Bara iliyokuwa inamtaka kugonga mwamba mwanzoni mwa msimu huu….

Read More

WANANCHI CHALINZE WAJIPANGA KUWEKEZA – Mzalendo

  Afisa Usimamizi wa Fedha Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, Bi. Mary Mihigo, akitoa elimu ya fedha kwa wananchi kuhusu umuhimu wa usimamizi wa fedha binafsi, jinsi ya kupanga mapato na matumizi ili kuweka akiba na kujikwamua kiuchumi pamoja na kujiandaa na maisha ya baadaye, wakati Maafisa wa Wizara ya Fedha walipokuwa wakitoa elimu ya…

Read More

Kocha Liogope katabiriwa makubwa huko

KOCHA wa Mtibwa Sugar, Melis Medo amemtabiria makubwa rafiki yake, Kassim Liogope ambaye anaongoza benchi la ufundi kwa muda la Azam FC wakati mchakato wa matajiri hao kushusha mrithi wa Youssouph Dabo ukiendelea. Liogope ni kocha mpya wa vijana wa Azam FC baada ya kuondoka kwa Mohammed Badru. Msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara 2023/24…

Read More

MKURUGENZI WA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI AAGIZA WAKANDARASI KUTOKA HARAKA KUMALIZA MRADI WA MKOMBOZI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa, amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi, Mkoani Iringa, kuongeza kasi katika ujenzi wa miradi hiyo. Mndolwa amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unaleta matokeo chanya kwa wakulima katika msimu ujao, na kuagiza wakandarasi kumaliza kazi hiyo hadi mwishoni mwa…

Read More

WAZIRI JAFO AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI TBS

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ifikapo mwezi Desemba,2024 kuwachukulia hatua za kisheria kwa wamiliki wa Viwanda na wazalishaji wa bomba (holepipes) wanaokiuka sheria za viwango vinavyowekwa na Shirika hilo ikiwemo kuteketeza bidhaa hizo na gharama za uteketezaji zitakuwa chini ya mmiliki wa bidhaa hizo. Ameyasema hayo…

Read More

RC Kunenge aipongeza JKT Ruvu kwa juhudi za kiuchumi**

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi Cha Ruvu kwa juhudi za kuchangia maendeleo ya sekta ya uchumi. Kunenge ametoa pongezi hizo Sept.04 aliposhiriki sherehe za kuhitimu mafunzo ya vijana Oparesheni miaka 60 ya Muungano kikosi Cha Ruvu , ambazo zilifanyika katika viwanja vya kambi hiyo wilayani Kibaha,…

Read More