MRADI WA KABANGA NICKEL WAVUTIA UWEKEZAJI MKUBWA KUTOKA KAMPUNI ZA AUSTRALIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amefanya mazungumzo na viongozi wa kampuni ya madini ya BHP, inayotarajia kushirikiana na Lifezone Metal kuwekeza katika mradi wa uchimbaji madini ya Nickel, Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera. Mradi wa Kabanga Nickel, unaosimamiwa na Tembo Nickel, unatarajiwa kugharimu Dola Bilioni 2.2 za Marekani. Kati ya hizo, Dola…

Read More

Mndolwa ateta na wakandarasi Mkombozi

Mkurugenzi mkuu Tume ya Taifa ya Umwagiliaji amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi Mkoani Iringa kuongeza kasi ujenzi wa miradi hiyo ili kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unanufaisha wakulima katika msimu ujao. Amewataka wakandarasi hao kuwa na mkakati wa kumaliza ujenzi wa miradi hiyo hadi kufikia mwishoni mwa Oktoba mwaka huu…

Read More

Simba yatisha Waarabu | Mwanaspoti

JOTO la Simba limeanza kuwaingia Al Ahly Tripoli ya Libya baada ya kuitana mezani kuweka yamini jinsi ya kuwakabili wawakilishi hao wa Tanzania kwenye mechi mbili za Kombe la Shirikisho. Wamempa masharti mazito, Kocha Mtunisia Chokri Khatoui kwamba lazima kwa namna yoyote timu yao ivuke sambamba na kumuongezea mkataba wa mwaka mmoja wenye sharti la…

Read More

NAIBU SPIKA ZUNGU AWAIMARISHA WABUNGE KWA AJILI YA UCHAGUZI 2025 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu, amewataka wabunge kutokuwa na hofu ya kurudi majimboni na kuwahimiza kuzungumzia mafanikio yaliyopatikana kupitia miradi mbalimbali. “Niwapongeze kwa kazi nzuri mliyofanya, mmeonyesha uwezo na sifa za kurudi tena bungeni mwaka 2025,” alisema Zungu. Zungu aliwataka wabunge kutokata tamaa kwa changamoto zozote wanazoweza kukutana nazo na kuwaelekeza waende majimboni na…

Read More

Fursa zilivyojificha kwenye ubunifu wa vifungashio

Dar es Salaam. Wajasiriamali nchini wamepewaa mbinu za kuwawezesha kulifikia kikamilifu soko la ndani na nje ya nchi, wakitakiwa kuwa wabunifu wa vifungashio na mikebe ya bidhaa zao. Maarifa hayo yametolewa leo Septemba 5, 2024 na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela), Godfrey Nyaisa alipofungua kikao cha mashauriano na…

Read More

Nondo nne za Boka Yanga

MASHABIKI wa Yanga wanachekelea kiwango cha beki mpya wa kushoto, Chadrack Boka aliyeanza kazi kibabe ndani ya mechi nne tu,lakini makocha nao wakafunguka namna timu hiyo ilivyoteseka kwa miaka 10 kupata mtu wa namna yake. Tangu Yanga iwe na beki wa kushoto Mrundi mwenye asili ya DR Congo Ramadhan Wasso, timu hiyo haikuwahi kupata tena…

Read More

Wydad Casablanca bado yamganda Mzize 

MIAMBA ya soka la Morocco, Wydad Casablanca imeonyesha kuwa siriazi kuitaka huduma ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize ambaye ni mfungaji bora wa Kombe la FA msimu uliopita. Mzize mwenye umri wa miaka 20, ambaye ni zao la timu za vijana za Yanga, amekuwa akivutia klabu kadhaa barani Afrika, huku Wydad na Kaizer Chiefs ya…

Read More