TADB yakopesha vikundi ng’ombe 153 wa maziwa

Pemba. Ili kukabiliana na changamoto ya kukosa maziwa na kuimarisha lishe, vikundi saba vya vya ufugaji vimepewa ng’ombe 153 kuwezesha sekta ya maziwa kukua. Ng’ombe hao wenye thamani ya Sh800 milioni wamenunuliwa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutoka Afrika Kusini. Wakizungumza baada ya kukabidhiwa ng’ombe hao leo Septemba 5, 2024 baadhi ya wafugaji…

Read More

TUJIPANGE KUENDANA NA KASI YA MABADILIKO SEKTA YA AFYA

Na WAF – Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenister Mhagama amelitaka Baraza la Madaktari Tanganyika kujipanga zaidi ili kuendana na kasi ya mabadiliko makubwa ndani ya Sekta ya Afya yanayotokea na uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. “Waziri Mhagama ametoa wito huo leo Septemba 05, 2024 kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya…

Read More

Afande ‘aliyelipa’ wabakaji afikishwa mahakamani

  HATIMAYE Fatma Kigondo, Afisa wa Jeshi la Polisi, anayetuhumiwa kuwa ndiye “Afande” aliyetajwa na kundi hilo la vijana, lililomfanyia vitendo vya kikatili msichana mmoja, aliyepachikwa jina la “Binti wa Yombo,” amefikishwa mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mtuhumiwa alifika kwenye Mahakama ya Dodoma, leo Alhamisi, huku akiwa amejifunika gubigubi na hivyo kuwapa wakati…

Read More

Miongozo, sera za watu wenye ulemavu inapwaya

Unguja. Wakati kukiwa na harakati za kuweka mazingira wezeshi kwa watu wenye ulemavu, imeelezwa sera na sheria zinasozimamia kundi hilo zina upungufu hivyo ipo haja ya kuziangalia namna zinavyowajumuisha. Hayo yamebainika wakati wa mkutano wa programu ya kimataifa ya haki za watu wenye ulemavu uliofanyika Mjini Unguja ukilenga kushughulikia changamoto zinazowakabili. Katika mkutano huo, Katibu…

Read More

Waziri Bashungwa ataka Wahandisi kulinda thamani yao

  Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Waziri wa Ujenzi,Innocent Bashungwa amewataka Wahandisi kuwajibika katika majukumu pale wanapopatiwa mradi ili kulinda thamani yao.  Akizungumza katika Jukwaa la Wahandisi katika ukumbi wa Mlimani City Waziri Bashungwa  amesema Wahandisi ni muhimu katika maendeleo kushindwa kuwajibika  katika majukumu yao wanarudisha jitihada zinazofanywa na serikali. Amesema kuwa Serikali ya awamu ya…

Read More

Michango ya kibinafsi huongeza msaada wa UN kwa Gaza iliyokumbwa na vita – Masuala ya Ulimwenguni

Tangu Oktoba mwaka jana, shirika la Umoja wa Mataifa limekusanya karibu dola za Marekani milioni 150 kutoka UNRWA Uhispania, UNRWA USA, foundations, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs), mashirika na watu binafsi. Baadhi hata waliongeza mara mbili au mara tatu michango yao, alisema Karim Amer, Mkurugenzi wa Ushirikiano wa shirika hilo, ambaye alizungumza na Habari za…

Read More

DKT. TULIA AWASILI NCHINI ITALIA

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 5 Septemba, 2024 amewasili Verona, nchini Italia ambako anatarajia kushiriki katika Mkutano wa 22 wa Maspika wa Mabunge ya nchi za G7, unaotarajiwa kufanyika nchini humo kuanzia tarehe 5 hadi 8 Septemba,…

Read More

Tanzania kunufaika uwekezaji teknolojia ya fedha

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa mataifa yatakayonufaika na uwekezaji wa teknolijia ya fedha (FinTech), baada ya wawekezaji 10 kutoka Afrika na Marekani kutua nchini. Wawekezaji hao wanatarajiwa kutua kwenye kongamano la wadau wa sekta hiyo lililopangwa kufanyika hapa nchini kati ya Septemba 12 hadi 13, 2024 ambapo kwa jumla wadau zaidi ya…

Read More

Mchuano uchaguzi Chadema Kanda ya Pwani, Boni Yai arejesha fomu

Dar es Salaam. Dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu kuwania uongozi wa Kanda ya Pwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limefungwa, huku wagombea wawili wa uenyekiti wakioneshana umwamba dhidi ya mwenzake. Leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 saa 10:00 jioni, ndio dirisha limefungwa baada ya kufunguliwa kuanzia Agosti 23, 2024. Waliochukua na kurejesha ni…

Read More