Mdamu aanza kupata msaada “angalau nitapata chakula”

BAADA ya Mwanaspoti kufichua hali ya maendeleo ya aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu kuhitaji msaada wa matibabu na mahitaji binafsi, wadau kadhaa wameanza kujitolea kumtatulia baadhi ya changamoto na ameshukuru kwamba ; “angalau sasa nitapata chakula” Julai 9, mwaka 2021 basi la timu ya Polisi Tanzania, lilipata ajali likitoka katika mazoezi Uwanja…

Read More

Kauli za makada zinavyoitesa CCM

Dar es Salaam. Kauli za hivi karibuni zinazotolewa na baadhi ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusu uchaguzi na matumizi ya vyombo vya dola zinaonekana kukitesa chama hicho, kikilazimika kutoka hadharani kila mara kuzikanusha na kujitenga nazo. Miongoni mwa kauli hizo ni iliyotolewa karibuni na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Marco…

Read More

Mkalama yatangaza mkakati wa kupambana na Homa ya Nyani

  MKUU wa wilaya ya Mkalama, Moses Machali amewataka Wakuu wa Idara, Watumishi wa Afya, Watendaji Kata na Vijiji pamoja na Maafisa Tarafa wilayani Mkalama kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujilinda na ugonjwa wa Homa ya Nyani maarufu kama Mpox. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Wito huo ameutoa leo tarehe 5 Septemba, 2024…

Read More

Rais Samia mgeni rasmi Baraza la Maulid Geita

Geita. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Maulid linalotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani Geita, Septemba 16, 2024. Shekhe wa Mkoa wa Geita, Alihaji Yusuph Kabaju amebainisha hayo leo Septemba 5, 2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sherehe ya Maulid zinazotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani humo. Amesema Baraza la Maulid litatanguliwa…

Read More

Sure Boy: Kazini kwangu kuzito

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Salum Abubakar ‘Sure Boy,’ ameweka wazi kuwa chini ya kocha Miguel Gamondi, kila mchezaji ndani ya kikosi cha Yanga ana nafasi ya kucheza, mradi aonyeshe juhudi binafsi. Sure Boy, ambaye anacheza nafasi sawa na Mudathir Yahya, Clatous Chama, Stephane Aziz Ki, Duke Abuya na Pacome Zouzoua, alisema ushindani wa namba umekuwa…

Read More

REA yahamasisha wananchi kutumia nishati safi ya kupikia

  SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kuhamasisha wananchi, kutumia nishati safi ya kupikia ili kuwezesha utunzaji wa mazingira, kuboresha afya na ustawi wa jamii pamoja na kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mhandisi wa Miradi kutoka REA, Kelvin Tarimo amesema hayo, jana…

Read More

Vipigo vyamzindua kocha Kagera Sugar

KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Paul Nkata amekaribishwa katika Ligi Kuu Bara kwa vipigo akipoteza michezo miwili za awali za ligi ya msimu huo mbele ya Singida Black Stars na Yanga na kumvuruga kocha huyo Mganda, akitaja sababu ni kuzidiwa ubora na kukyutana na timu hizo akiwa bado hajajipanga vyema. Kocha huyo wa zamani wa…

Read More

Waziri Dk. Kijaji ahimiza usimamizi wa mazingira viwandani

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dk. Ashatu Kijaji amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuweka mifumo ya majitaka kuepusha yasitiririke ovyo na kuchafua mazingira na kuathiri afya za wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Amesema Ofisi ya Makamu wa Rais na Serikali kwa ujumla inatambua umuhimu wa wawekezaji…

Read More