Dodoma Jiji sasa yakimbilia Manyara

UONGOZI wa Dodoma Jiji umechagua kuutumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara kwa michezo ya nyumbani, baada ya Uwanja wa Jamhuri, Dodoma kufungiwa na Bodi ya Ligi (TPLB) kutokana na kutokidhi vigezo. Timu hiyo iliyoanza msimu huu bila ya kuonja ladha ya ushindi katika michezo miwili iliyocheza, ilichapwa bao 1-0 na Mashujaa kisha…

Read More

NGOs ZINGATIENI VIPAUMBELE VYA SERIKALI KUTEKELEZA MIRADI: NAIBU WAZIRI MWANAIDI

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis ameyasisitiza Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini kuzingatia malengo, mipango, mikakati na vipaumbele vya Taifa katika utekelezaji wa miradi. Naibu Waziri Mwanaidi ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo kwa Wasajili wasaidizi wa NGOs na Wajumbe wa Baraza la Taifa la NGOs (NaCONGO)…

Read More

Hospitali Sinza, Meridianbet kuimarisha Afya ya wagonjwa

  Usalama na Afya ni jambo la msingi sana, na kila mtu anapambana kwa gharama kubwa kuhakikisha afya yake inakuwa imara, juhudi hizo pekee hazitoshi kwa serikali peke yake kuhakikisha suala la afya kwa nchi nzima linakuwa imara, bali linategemea wadau kama Meridianbet na wengine kuongeza nguvu kwenye masuala ya Afya. Kampuni namba moja ya…

Read More

Azam fc yatua kwa Mmorocco

MABOSI wa Azam FC wako katika harakati za kumsaka mrithi wa Yousouf Dabo aliyetimuliwa Septemba 3, mwaka huu kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ndani ya kikosi hicho na sasa taarifa zinasema ipo katika mazungumzo ya kumnasa Kocha Rachid Taoussi, raia wa Morocco. Taoussi aliyezaliwa Februari 6, 1959, inaelezwa yupo katika mazungumzo na viongozi wa…

Read More

Bongo Zozo apania kuhamasisha utalii kileleni Mlima Kilimanjaro

Hai. Balozi wa Utalii Tanzania, Nick Reynolds maarufu kama Bongo Zozo anatarajia kuanza safari ya siku saba ya kuupanda Mlima Kilimanjaro kesho Septemba 6, 2024 huku akiwataka Watanzania kujenga tabia ya kutembelea vivutio vilivyopo nchini ikiwemo kupanda mlima huo mrefu barani Afrika, hatua itakayochochea utalii wa ndani. Bongo Zozo ameyasema hayo leo Septemba 5, 2024…

Read More

HII HAPA UEFA NATIONS LEAGUE YA KUKUPA KITITA

HAINA haja ya kusubiri mpaka ligi zirejee wakati unaweza ukaendelea kukusanya maokoto kupitia Meridianbet kwa kubashiri michezo mbalimbali ambayo inaendelea kuchezwa kipindi hiki ligi zimesimama. Ni michuano ya Uefa Nations League ndio ambayo inaweza kukuokoa kipindi hiki ligi zimesimama, Kwani inachezwa michezo mikali ambapo mataifa mbalimbali barani ulaya yanakutana kukipiga lakini kubwa zaidi imepewa Odds…

Read More