Mpole, Okutu wapewa akili mpya Pamba Jiji

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba, Stand United na Mbeya City, Abasirim Chidiebere raia wa Nigeria amesema mwanzo mgumu iliyoanza nao Pamba Jiji katika Ligi Kuu Bara ni kutokana na udhaifu wa eneo la ushambuliaji na kiungo, huku akiwataka mashabiki kutuliza presha. Chidiebere aliyestaafu soka na ameweka makazi jijini Mwanza, aliliambia Mwanaspoti Pamba Jiji imefanya usajili…

Read More

DKT. BITEKO ATOA SOMO UZALISHAJI, MATUMIZI YA NISHATI AFRIKA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akihutubia Mkutano wa Hydrogen Barani Afrika unaoendelea Mjini Windhoek, Namibia. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa Washiriki wa Mkutano wa Hydrogen Barani Afrika unaoendelea Mjini Windhoek, Namibia. Mkutano huo unakwenda pamoja na maonesho…

Read More

Hatua ya Hali ya Hewa Fursa Kubwa ya Kiuchumi ya Karne hii, Asema Mkuu wa Hali ya Hewa wa Umoja wa Mataifa – Masuala ya Ulimwenguni

Mikoa yote sita ya Afrika imekumbwa na ongezeko la hali ya joto katika miongo sita iliyopita, na kusababisha matatizo makubwa ya maji, ukosefu wa chakula cha kutosha na kuongezeka kwa umaskini. Credit: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (nairobi) Alhamisi, Septemba 05, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Septemba 05 (IPS) – Huku zikiwa zimesalia chini ya…

Read More

Ujerumani yataka mzozo wa Gaza umalizike – DW – 05.09.2024

Akizungumza Alhamisi mjini Riyadh na mwenyeji wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, Faisal bin Farhan Al-Saud, Baerbock amesema mpango wa kusitisha mapigano uliopendekezwa na Rais wa Marekani, Joe Biden mwezi Mei, unapaswa kupitishwa. Wizara ya mambo ya nje ya Ujerumani hapo awali ilisema kuwa Baerbock na Al-Saud pia watajadiliana kuhusu mashambulizi katika meli…

Read More

Wananchi wahamasishwa kupata elimu ya fedha kujikwamua

Dar es Salaam. Elimu ya fedha kwa wananchi imetajwa kuwa jambo la muhimu kwa kuwa itawawezesha kutumia kwa malengo kiasi wanachokipata katika kazi zao. Hayo yamebainishwa leo Septemba 5, 2024 jijini Dar es Salaam na Kamishna wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha kutoka Wizara ya Fedha Dk Charles Mwamwanja wakati akizindua Mfuko wa Inuka. Amesema…

Read More

Kocha Prisons amkingia kifua Mbisa

WAKATI mashabiki wa Tanzania Prisons wakinung’unika kuondoka kwa aliyekuwa kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos, lakini benchi la ufundi la timu hiyo limewatoa hofu likieleza kuwa makipa waliobaki akiwamo Mussa Mbisa kuwa ni bora na kazi yao itaonekana. Prisons iliondokewa na Yona aliyetimkia Pamba Jiji na kuwaacha makipa wawili Mbisa na Edward Mwakyusa…

Read More

UTATUZI CHANGAMOTO ZA ELIMU MSINGI WAZIRI MCHENGERWA AKARIBISHA WADAU

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema ofisi yake inakaribisha washirika kusaidia katika nyanja mbalimbali zinazolenga kuboresha miundombinu ya elimu, mazingira ya kufundishi kwa walimu, usalama wa wanafunzi na kuongeza ufaulu wao. Waziri Mchengerwa amesema Serikali pekee haiwezi kumaliza changamoto zote zinazoikabili sekta ya elimu…

Read More

Serikali yakaa mezani na benki kujadili madeni makandarasi

Dar es Salaam. Baada ya kuwapo kwa malalamiko kutoka kwa makandarasi mbalimbali juu ya kucheleweshwa kwa malipo yao, Serikali imesema imeanza mazungumzo na taasisi za kifedha ili kuagalia namna ya kuwasaidia ikiwemo kupunguza madeni inayodaiwa. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa alipokuwa akihutubia  katika maadhimisho ya siku ya…

Read More