Anayetajwa ‘afande’ atinga mahakamani, kesi yaahirishwa

Dodoma. Fatma Kigondo anayelalamikiwa kuwatuma watuhumiwa wa kosa la kubaka kwa kundi ametii wito wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma iliyomtaka kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, 2024.  Mahakama hiyo Agosti 23 ilitoa wito wa kufika mahakamani (samansi) kwa Fatma baada ya ile ya awali iliyomtaka kuhudhuria mahakamani siku hiyo kutotekelezwa. Shauri hilo la malalamiko…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Tusiikatie tamaa Taifa Stars Afcon

MWANZO haujawa mzuri kwa timu ya taifa ya soka ya Tanzania, Taifa Stars katika mashindano ya kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025 ambazo zitafanyika huko Morocco, mwakani. Mchezo wake wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali hizo katika kundi H dhidi ya Ethiopia ambao tulikuwa nyumbani, Jumatano iliyopita ulimalizika kwa sare tasa kwenye…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Zahera bado hayupo salama Namungo

MWINYI Zahera mwanzoni mwa wiki hii alipitia katika kikaango baada ya kuponea chupuchupu kutimuliwa na Namungo kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo, Baada ya Namungo kupoteza mchezo dhidi ya Fountain Gate kwa mabao 2-0 nyumbani, kocha huyo alikutana na kadhia ya mashabiki wa timu hiyo ambapo alirushiwa makopo kwenye Uwanja wa Majaliwa huko Ruangwa,…

Read More

RAIS SAMIA AHUTUBIA MKUTANO WA TISA JUKWAA LA USHIRIKIANO KATI YA CHINA NA AFRIKA(FOCAC)

 Leo Tarehe 5 Septemba 2024, Rais Samia Suluhu Hassan amehutubia  mkutano wa tisa wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) uliofanyika Beijing.  Katika hotuba yake, alisisitiza kujitolea kwa Tanzania kuimarisha ushirikiano wake na China, hasa katika miundombinu na maendeleo ya kiuchumi.  Jambo kuu lililozungumziwa ni kufufua mradi wa reli ya Tanzania na…

Read More