TMA yaeleza chanzo mvua zinazoendelea kunyesha nchini

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mvua zinazoendelea kunyesha kwenye maeneo mbalimbali nchini hivi sasa ni za nje ya msimu ambazo zinasababishwa na upepo unaotoka baharini. Imesema mvua za msimu wa vuli bado hazijaanza na zitaanza mwanzoni mwa Oktoba hadi Desemba 2024 huku zikitarajiwa kuwa za wastani na chini ya…

Read More

Dili la Badru lakwama Songea United

ALIYEKUWA kocha wa timu za vijana za Azam FC, Mohammed Badru amesema dili lake kutua Songea United limeota mbawa na badala yake imembidi kutoa sapoti kwa viongozi wa chama hilo kutokana na heshima yao kwake, hivyo ilimbidi kuandaa programu mbalimbali za mazoezi kama sehemu ya maandalizi yao kwa ajili ya msimu ujao wa Championship. Badru…

Read More

Tuko tayari kwa mazungumzo na Ukraine – DW – 05.09.2024

Rais Putin amesema makubaliano ya awali yaliyofikiwa mwanzoni mwa vita hivyo baina ya wapatanishi wa Urusi na Ukraine huko Istanbul, ambayo hata hivyo hayakutekelezwa, yanaweza kutumiwa kama msingi wa mazungumzo ya sasa.  Haya ni miongoni mwa masuala kadhaa aliyoyazungumza Rais Vladimir Putin kwenye kipindi cha maswali na majibu katika Kongamano la Kiuchumi la nchi za…

Read More

Ilanfya majanga, nje wiki mbili

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Charles Ilanfya yamemkuta baada ya kuelezwa atalazimika kuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki mbili hadi uvimbe wa goti alionao upungue ndipo aanze vipimo ili kugundua tatizo linalomsumbua baada ya kuumia walipocheza dhidi ya Azam, Agosti 28, kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo. Ilanfya alisema baada ya kupata maumivu goti…

Read More

DRC kupokea dozi 100,000 chanjo ya Mpox leo

Dar es Salaam. Shehena ya kwanza ya dozi 100,000 za chanjo ya ugonjwa wa homa ya nyani maarufu Mpox inatarajiwa kuwasili leo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Zaidi ya wagonjwa 17,500 na vifo 629 vimeripotiwa nchini humo tangu mwanzoni mwa mwaka huu, kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Taarifa iliyotolewa jana Alhamisi, Septemba…

Read More

Aucho afichua kinachoibeba Ligi Kuu Bara CECAFA

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Khalid Aucho kwa sasa yupo katika kambi ya timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes, huku akifichua kinachoibeba Ligi Kuu Bara katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Aucho maarufu kama Dokta, amesema uwekezaji ndiyo sababu kubwa ya Ligi Kuu Bara kuwa na ushawishi kwa nchi nyingine kuifuatilia na kushabikia baadhi…

Read More

Sanawe: Sasa ni ubaya ubwela tu

WAKATI timu tano zikipambana kujinasua zisishuke daraja katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BD), baadhi ya makocha wa timu hizo wamesema kwa sasa walipofikia ni kuombeana mabaya. Timu hizo ni KIUT, Jogoo, Ukonga Kings, Mgulani JKT, huku timu tatu ndizo zinatakiwa kushuka daraja. Wakiongea kwa nyakati tofauti na Mwanaspoti makocha hao walisema…

Read More

Abiria mlevi ataka kujifanya rubani angani,ndege yalazimika kutua kwa dharura

Ndege ya easyJet kutoka shirika la ndege la uingereza, iliyokuwa ikielekea kwenye kisiwa cha Kos,nchini Ugiriki, ililazimika kutua kwa dharura Jumanne baada ya abiria mlevi kutaka kujifanya rubani angani. Tukio hilo lilitokea wakati ndege ilipokuwa angani kwenye urefu wa futi 30,000. Abiria huyo, ambaye alijaribu kufungua milango ya dharura na kupigana na wahudumu, aliharibu mawasiliano…

Read More