Serikali kuja ya utaratibu mpya wanaoomba nafasi za kujitolea

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema mwongozo wa kujitolea katika utumishi utakamilika ndani ya mwaka wa fedha 2024/25. Mbali na hilo, Serikali imesema itaweka utaratibu wa ushindani ili kijana aende kujitolea sehemu kama inavyofanyika kwa nafasi za ajira. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu ameyasema…

Read More

Dar City yachemsha kwa maafande BD

TIMU ya JKT iliwashangaza wengi pale ilipoifunga timu ngumu ya Dar City kwa pointi 83-66 katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam (BD) iliyofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Dar City itabidi ijilaumu yenyewe kupoteza mchezo huo kutokana na kushindwa kutegua mfumo wa uchezaji uliotumiwa na timu ya JKT. Mfumo uliotumiwa na JKT…

Read More

WAZIRI NDEJEMBI AANZA KUSHUGHULIKIA MGOGORO WA NDACHI

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Deogratius Ndejembi ameagiza kusitishwa kwa shughuli za ujenzi katika eneo la Ndachi jijini Dodoma ambalo limekua likikabiliwa na mgogoro wa muda mrefu. Mhe. Ndejembi ametoa agizo hilo jijini tarehe 4 Septemba 2024 Dodoma wakati wa kikao chake cha pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe…

Read More

Continental corruption the biggest issue for African youth

·      Two thirds of African youth want to emigrate with North America and Western Europe as top destinations (JOHANNESBURG: Thursday, 5 September 2024) – Almost 60% of African youth are looking to emigrate in the next five years, with North America being the top destination of choice followed by Western Europe, where France, UK, Germany and Spain…

Read More

WAZIRI KIJAJI AHIMIZA USIMAMIZI WA MAZINGIRA VIWANDANI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akikagua sehemu ya majitaka alipofanya ziara ya kukagua uzingatiaji wa sheria ya mazingira katika kiwanda cha kurejeleza taka za mifuko chakavu na za plastiki kwa ajili ya kuzalisha viatu na mifuko cha Future Colorful kilichopo jijini Dodoma. …… Waziri wa…

Read More

Rais Dk.Mwinyi atembelea kiwanda cha INDESSO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, pamoja na ujumbe wake, ametembelea Kiwanda cha INDESSO cha kusarifu majani ya mkarafuu na kutengeneza mafuta kwa matumizi mbalimbali kama vile dawa na manukato, kilichopo Cileungsi, Jakarta, Indonesia. Akiwa katika kiwanda hicho, Rais Dk. Mwinyi amejionea hatua mbalimbali za kusarifu majani…

Read More