Mama anayedaiwa kuuawa na mwanawe akigombea mali azikwa

Moshi. Wakati mamia ya wananchi wakijitokeza kumzika Adela Mushi (74), mkazi wa Kijiji cha Okaseni, wilayani Moshi anayedaiwa kuuawa na mwanawe wakigombea mali, Paroko wa Parokia ya Mawela, Patrick Soka amesema asilimia 60 ya migogoro iliyopo kijiji hapo ni ya ardhi na urithi. Amesema migogoro hiyo imekuwa ikichochea ukatili yakiwemo mauaji kwenye familia. Padri Soka…

Read More

Rais Samia awapa wanafunzi mbinu ya kufaulu

Namtumbo. Rais Samia Suluhu Hassan amewapa wanafunzi mbinu ya kufaulu mitihani, akisema majibu ya maswali yote yanapatikana kupitia Teknonojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama). Amewataka wanafunzi kuikumbatia Tehama wawe na ujuzi kuhusu akili mnemba (AI). Amesema hayo leo Septemba 27, 2024 baada ya kuzindua Shule ya Sekondari ya Dk Samia Suluhu Hassan maalumu kwa wasichana…

Read More

Fuso laua 12 Mbeya wakienda mnadani

Mbeya. Septemba unaweza kuwa mwezi mbaya zaidi mkoani Mbeya kutokana na ajali za barabarani, baada ya watu 12 kufariki dunia na wengine 23 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea leo Septemba 27, 2024 wilayani Mbeya. Ajali hiyo imetokea eneo la Jojo Kata ya Ilembo, ikihusisha gari aina ya Fuso ambalo lilikuwa likielekea mnada. Alfajiri ya…

Read More

Hukumu kesi ya ‘waliotumwa na afande’ Septemba 30

Dodoma. Hukumu ya kesi ya jinai ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam itatolewa Septemba 30, 2024. Kesi hiyo ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024, inawakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), MT 140105 Clinton Damas…

Read More

BARABARA YA CD MSUYA MWANGA KUWEKWA LAMI KM 4.8..

Na WILLIUM PAUL, MWANGA SERIKALI imetoa fedha Bilioni 12.8 kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami Barbara ya mchupuko ya CD Msuya kilomita 4.8 Kati ya kilomita 13.8 wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro. Hatua hiyo imepokelewa kwa furaha na wananchi wa Mwanga ambapo wamesema kuwa, kukamilika kwa barabara hiyo ya Mchepuko ya CP Msuya yenye…

Read More

Tira yachagiza elimu ya bima kwa wananchi wote

Arusha. Watoa huduma za bima Kanda ya Kaskazini wametakiwa kutoa elimu zaidi juu ya bima kwa wananchi wanaowahudumia,  kwa sababu wengi wao hawana uelewa wa kutosha kuhusu maswala hayo. Hayo yamesemwa leo Septemba 27, 2024 na Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Bima Tanzania (TIRA) Kanda ya Kaskazini, Bahati Ogolla wakati akizungumza katika…

Read More

FOCAC: SHAPING THE FUTURE OF CHINA-AFRICA RELATIONS.

  The Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) creates a platform for mutual growth and collaboration, benefiting both Africa and China. Through improved infrastructure, trade, and investment, FOCAC supports African economies while expanding China’s engagement in global partnerships. Both regions benefit from shared modernization goals, job creation, and strategic partnerships, encouraging a prosperous, interdependent future built…

Read More

Sifa ya chama cha siasa kushiriki uchaguzi

Dodoma. Sharti la kuwataka wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wawe wanachama wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, linawahusu pia wapigakura kujua vyama vyenye usajili wa muda ambavyo havina sifa ya kushiriki uchaguzi huo. Ni muhimu kwa wapigakura kufahamu kanuni za uchaguzi wa Serikali za mitaa za mwaka 2024, zinaeleza wagombea wa…

Read More

WANAHARAKATI- MFUMO DUME CHANZO CHA KAZI ZISIZO NA UJIRA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wamepaza sauti zao kukemea Mfumo dume ambao umekuwa nisababu kubwa inayochangia Vijana na wanawake kufanya  kazi zisizo na stara wala ujira ambapo imechangia kwa kiasi kikubwa mmomonyoko wa maadili na kusababisha magonjwa ya kuambukiza. Akizungumza Septemba 25,2024 kwenye semina hizo zinazofanyika kila Jumatano …

Read More

‘Boni Yai’ asogeza mbele uchaguzi Kanda ya Pwani

Dar es Salaam. Kitendo cha meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob ‘Boni Yai’ kuendelea kusalia mahabusu kimesababisha uchaguzi wa Kanda ya Pwani ya Chadema uliopangwa kufanyika Septemba 29, 2024 kusogezwa mbele. Jacob ambaye ni mmoja wa wagombea wa uenyekiti wa kanda hiyo, jana Septemba 26, ilidhaniwa angepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,…

Read More