Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: September 2024

  • Home
  • 2024
  • September
  • Page 27
Habari

Mama anayedaiwa kuuawa na mwanawe akigombea mali azikwa

September 27, 2024 Admin

Moshi. Wakati mamia ya wananchi wakijitokeza kumzika Adela Mushi (74), mkazi wa Kijiji cha Okaseni, wilayani Moshi anayedaiwa kuuawa na mwanawe wakigombea mali, Paroko wa

Read More
Habari

Rais Samia awapa wanafunzi mbinu ya kufaulu

September 27, 2024 Admin

Namtumbo. Rais Samia Suluhu Hassan amewapa wanafunzi mbinu ya kufaulu mitihani, akisema majibu ya maswali yote yanapatikana kupitia Teknonojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama). Amewataka

Read More
Habari

Fuso laua 12 Mbeya wakienda mnadani

September 27, 2024 Admin

Mbeya. Septemba unaweza kuwa mwezi mbaya zaidi mkoani Mbeya kutokana na ajali za barabarani, baada ya watu 12 kufariki dunia na wengine 23 kujeruhiwa katika

Read More
Habari

Hukumu kesi ya ‘waliotumwa na afande’ Septemba 30

September 27, 2024 Admin

Dodoma. Hukumu ya kesi ya jinai ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam itatolewa

Read More
Habari

BARABARA YA CD MSUYA MWANGA KUWEKWA LAMI KM 4.8..

September 27, 2024 Admin

Na WILLIUM PAUL, MWANGA SERIKALI imetoa fedha Bilioni 12.8 kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami Barbara ya mchupuko ya CD Msuya kilomita 4.8

Read More
Habari

Tira yachagiza elimu ya bima kwa wananchi wote

September 27, 2024 Admin

Arusha. Watoa huduma za bima Kanda ya Kaskazini wametakiwa kutoa elimu zaidi juu ya bima kwa wananchi wanaowahudumia,  kwa sababu wengi wao hawana uelewa wa

Read More
Habari

FOCAC: SHAPING THE FUTURE OF CHINA-AFRICA RELATIONS.

September 27, 2024 Admin

  The Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) creates a platform for mutual growth and collaboration, benefiting both Africa and China. Through improved infrastructure, trade, and

Read More
Habari

Sifa ya chama cha siasa kushiriki uchaguzi

September 27, 2024 Admin

Dodoma. Sharti la kuwataka wagombea kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wawe wanachama wa vyama vya siasa vyenye usajili wa kudumu, linawahusu pia wapigakura kujua

Read More
Habari

WANAHARAKATI- MFUMO DUME CHANZO CHA KAZI ZISIZO NA UJIRA

September 27, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wamepaza sauti zao kukemea Mfumo dume ambao umekuwa nisababu kubwa inayochangia Vijana na

Read More
Habari

‘Boni Yai’ asogeza mbele uchaguzi Kanda ya Pwani

September 27, 2024 Admin

Dar es Salaam. Kitendo cha meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob ‘Boni Yai’ kuendelea kusalia mahabusu kimesababisha uchaguzi wa Kanda ya Pwani ya Chadema

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 26 27 28 … 311 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.