MAAFISA UNUNUZI WA UMMA WAASWA KUFUATA SHERIA

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Bw. Kiseo Yusuf Nzowa, akifungua Mkutano wa Kanda ya Kaskazini uliyofanyika mkoani Kilimanjaro, kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma, Sura No. 410, Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, Sura No 103 na matumizi ya Takwimu zinazozalishwa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mkutano huo…

Read More

Kesi ya afande anayedaiwa kuwatuma vijana kuunguruma leo

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kundi inayomkabili, Fatma Kigondo, afande anayedaiwa kuwatuma vijana kumbaka kwa kundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti Mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inakuja mahakamani leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 tena. Kesi hiyo, iliyofunguliwa na Paul Kisabo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, ilishindwa kusikilizwa Agosti 23, 2024…

Read More

Umoja wa Mataifa unadai kuachiliwa kwa mateka, unahimiza ulinzi na usaidizi kwa raia wa Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Rosemary DiCarlo, Naibu Katibu Mkuu wa Masuala ya Kisiasa, na Edem Wosornu, Mkurugenzi wa Operesheni wa mrengo wa uratibu wa kibinadamu, OCHAwalikuwa wakitoa taarifa kwa mabalozi nchini Baraza la Usalamadhidi ya hali ya uokoaji wa miili ya mateka sita waliouawa huko Gaza na kampeni ya chanjo ya polio iliyoanza wikendi. Mkutano wa dharura uliombwa –…

Read More

Matumaini Kombo kada wa Chadema kuachiwa kwa dhamana leo

Tanga. Leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 ni siku nyingine ya matumaini kwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, Kombo Mbwana, anayekabiliwa na kesi ya jinai, kurejea uraiani kwa dhamana. Uamuzi huo unatarajiwa kutolewa na Mahakama ya Wilaya ya Tanga, kuhusiana na maombi ya Jeshi la Polisi kuomba mshtakiwa huyo asipewe dhamana…

Read More