Serikali kuwashika mkono wahasibu wanawake

Unguja. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kuwa mshirika wa kimkakati kuboresha mazingira ya kazi, fursa sawa za maendeleo kwa wanawake wahasibu ili kuandaa viongozi bora wanaotokana na wanawake. Hayo yamo kwenye hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah katika uzinduzi wa kongamano la saba…

Read More

DC SHEKIMWERI: MAFUNZO YA USALAMA WA KIMTANDAO YAMEKUJA WAKATI MUHIMU KUELEKEA KIPINDI CHA UCHAGUZI.

NA EMMANUEL MBATILO, DODOMA WANAWAKE Viongozi na Vijana wanasiasa wametakiwa kuwa sehemu ya kupunguza hatari za makosa yanayoweza kusababishwa na utumiaji wa mitandao kwa kuhakikisha wanazingatia sheria na miongozo iliyowekwa na Serikali ili umoja, utengamano na staha za watu ziweze kutunzwa na hiyo ni pamoja na taarifa zao binafsi. Wito huo umetolewa leo Septemba 4,2024…

Read More

Kipre Jr: Azam hadi miaka mitatu

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, anayekipiga kwa sasa MC Alger ya Algeria, Kipre Jr, amesema ili matajiri wa Chamazi waweze kuonyesha ushindani kimataifa wanahitaji miaka mitatu na zaidi kuingia kwenye mfumo. Kipre aliyeitumikia kwa mafanikio Azam kwa misimu miwili kabla ya kuondoka hivi karibuni, aliliambia Mwanaspoti, timu hiyo inakua kila msimu hivyo uongozi…

Read More

Mwanafunzi aliyefariki kwa ajali Babati azikwa

Mirerani. Mamia ya wakazi wa mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro mkoani Manyara wamejitokeza kumzika mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Endasak, wilayani Hanang’, Lidya Saitoti, aliyefariki dunia pamoja na wenzake wawili na dereva wa basi dogo walilokuwa wakisafiria kutoka Endasak kwenda jijini Arusha. Ajali hiyo ilitokea Agosti 31, 2024, eneo la Gajal, wilayani Babati, basi…

Read More

WASAJILI WASAIDIZI MIKOA, HALMASHAURI WAPATA MAFUNZO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Felister Mdemu amefungua mafunzo ya siku mbili kuwajengea uwezo Wasajili Wasaidizi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikari kwa ngazi ya Mikoa na Halmashauri zote Tanzania bara Septemba 4, 2024 jijini Dodoma. Akifungua mafunzo hayo, yaliyoandaliwa na Wizara kupitia Ofisi ya Msajili wa NGOs…

Read More

Sheria ndogo zinazokiuka, sheria Katiba zanyofolewa

Dodoma. Wakati Bunge limezikataa sheria ndogo zenye dosari ya kuumiza wananchi kwenye halmashauri kadhaa nchini, Serikali imetoa maelekezo kuanzia sasa uandishi wa sheria ndogo lazima umshirikishe Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Mbali ya sheria ndogo za halmashauri zilizotakiwa kurekebishwa, pia zipo za wizara tisa zenye dosari. Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria Ndogo, Dk Jasson…

Read More