Basi la Shari Line laua tisa lajeruhi 18

Mbeya. Watu tisa wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Shari Line walilokuwa wakisafiria kutumbukia  kwenye korongo. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatano Septemba 4, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema  ajali hiyo ilitokea jana, Septemba 3, 2024 saa moja usiku katika kijiji cha Itamboleo, Kata ya…

Read More

TZ Open kuileta Afrika Arachuga

CHAMA cha Gofu kwa Wanawake Tanzania (TLGU) kimesema kinatarajia kuona nchi nyingi zaidi ya Kenya na Uganda katika mashindano ya mwaka huu ya Tanzania Ladies Open yanayoanza kupigwa jijini Arusha. Katibu wa Mashindano wa TLGU, Rehema Athumani ameliambia Mwanaspoti kuwa nchi zaidi zitatuma washiriki kwa sababu barua za mialiko zimesambazwa katika karibu nchi zote za…

Read More

Zelensky asema serikali yake inahitaji “nguvu mpya” – DW – 04.09.2024

Mpango wa Rais Zelensky kutaka kufanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri, umesababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu. Kufikia sasa jumla ya mawaziri sita, akiwemo Waziri wa Mambo ya Nje Dmytro Kuleba, naibu waziri anayeshughulikia masuala ya ushirikiano wa Ulaya, waziri wa viwanda anayesimamia uzalishaji wa silaha Ukraine na wengine wawili, waliwasilisha maombi ya kujiuzulu na bunge…

Read More

Waziri wa Mambo ya Nje Ukraine atangaza kujiuzulu

Kyiv Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba (43) ametangaza kujiuzulu leo Septemba 4, 2024, ikiwa ni siku moja tangu mawaziri watano walipojiuzulu jana, huku ikielezwa Rais wa nchi hiyo Volodymyr Zelenskiy anatarajiwa kufanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri. Kujiuzulu kwa mawaziri hao kunakuja wakati Russia ikiendeleza mashambulizi katika nchi hiyo katika…

Read More

Kuzuia Mlipuko wa Surua-Jukumu la Pamoja la Chanjo – Masuala ya Ulimwenguni

Chanjo za surua pekee zilizuia vifo milioni 57 tangu mwaka wa 2000. Lakini mafanikio haya hayategemei tu kutengeneza chanjo zinazofaa; zinahitaji kupatikana kwa kila mtu. Mkopo: Shutterstock. Maoni na Daniela Ramirez Schrempp Jumatano, Septemba 04, 2024 Inter Press Service Sep 04 (IPS) – Maambukizi ya surua yanaongezeka hivi sasa, huku wataalamu wa milipuko wakiripoti kuwa…

Read More

Straika mpya Yanga kujiunga baada ya fainali CAF

MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga Princess, Sabina Thom anatarajiwa kujiunga na kambi ya timu hiyo baada ya kumaliza fainali za Klabu Bingwa Afrika kwa Wanawake. Kama Mwanaspoti ilivyoripoti awali kuwa Yanga Princess imemsajili straika huyo kwa mkataba mmoja akitokea TP Mazembe ya DR Congo iliyofuzu kucheza fainali hizo za CAF,  hivyo hawezi kujiunga na wenzake kwa…

Read More

Madawati ya uratibu wa NGOs yazinduliwa

Na Mwandishi Wetu Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi imezindua madawati ya Uratibu wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs)katika Sekta hiyo. Akizindua madawati hayo Septemba 04, 2024 kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dk. Dorothy Gwajima, Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia masuala ya Jinsia, Felister Mdemu amesema ushirikiano huo…

Read More