WADAU WATAKA BARABARA ZA KUDUMU HIFADHI YA SERENGETI

Na MWANDISHI WETU WADAU wa Utalii katika Hifadhi ya Taifa Serengeti wameiomba Serikali kupatia suluhisho la kudumu la ujenzi wa barabara katika Hifadhi za Taifa hususani barabara ya Serengeti Akizungumza leo na waandishi wa habari ambao wametembelea eneo hilo, ambapo Mkurugenzi wa Kampuni ya Utalii ya Wolway Trekking Tanzania Limited, John Macha alipongeza hatua zinazochukuliwa…

Read More

REA yahamasisha matumizi ya nishati safi

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuhamasisha wananchi kutumia nishati safi za kupikia kwa lengo la kuwezesha utunzaji wa mazingira, kuboresha afya na ustawi wa jamii ikiwamo kukuza uchumi wa mwananchi mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Mhandisi wa Miradi kutoka REA, Kelvin Tarimo amesema hayo leo Septemba 04,…

Read More

Nahdi atunisha msuli mbio za magari

WALEED Nahdi ni ingizo jipya la madereva wanaotarajiwa kushiriki raundi ya pili ya mbio za magari ubingwa wa taifa zitakazofanyika Iringa mwishoni mwa wiki ijayo. Nahdi anakuwa dereva wa 13 kuthibitisha ushiriki wake katika vita hiyo ambayo itafanyika Septemba 14 na 15. “Ni mtihani mkubwa kwangu, lakini nina imani ya kufanya vizuri kama kijana mwenye…

Read More

CCM yajitenga kauli ya aliyekuwa DC Longido

Arusha. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejitenga na kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC) mkoani Arusha, Marco Ng’umbi kikisema hakihitaji kubebwa ili kishinde katika chaguzi mbalimbali ukiwemo wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji. Septemba 1, 2024 kulisambaa kipande cha video mitandaoni inayomwonyesha Ngu’mbi akizungumza mambo kadhaa kuhusu uchaguzi wa mwaka 2020. Katika…

Read More

Rais Samia akutana na Rais XI Jinping wa China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mkutano na Rais wa China, Xi Jinping pamoja na ujumbe wake mapema leo katika ukumbi wa The Great Hall of the People jijini Beijing. Rais Samia amefanikiwa kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania na nchi muhimu duniani ikiwepo China tangu alipoingia madarakani Mwaka…

Read More

Waziri Bashungwa aonya makandarasi ‘makanjanja’

Dar es Salaam. Wakati zabuni za zaidi ya Sh840 bilioni za urejeshaji miundombinu iliyoharibiwa na mvua zikitarajiwa kutangazwa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), makandarasi ‘makanjanja’ wamekalia kuti kavu. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameziagiza Bodi ya Usajili wa Makandarasi Tanzania (CRB) na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuanza kushughulika na kampuni zinazopewa kazi…

Read More