Papa ahimiza kujikinga na misimamo mikali – DW – 04.09.2024

Papa amesema jambo hilo linapotosha imani za kidini za watu kupitia kile alichokitaja kama “udanganyifu na vurugu”.  Akizungumza katika hotuba yake mbele ya wanasiasa 300 na viongozi wa kidini katika Ikulu ya Merdeka mjini Jakarta, Papa Francis amesema Kanisa Katoliki litaongeza juhudi katika mazungumzo baina ya dini kwa matumaini ya kusaidia kukomesha itikadi kali. Soma…

Read More

Wafichuzi wa maovu wazidi kukabiliwa na hatari Afrika – DW – 04.09.2024

Wafichua taarifa ni watu ambao hufichua shughuli zisizo halali, zinazoenda kinyume na maadili au zisizofaa na zinazomhusu mtu binafsi, serikali au hata mashirika. Mara nyingi watu hao hufanya hivyo na kujiweka kwenye hatari ya kudhuriwa au hata kuuawa na wale wanaohusishwa na matukio ambayo yamefichuliwa.Watu hao wanaofahamika zaidi kama wafichua taarifa wamekuwa wakipoteza maisha kutokana…

Read More

Watoto wanavyogeuzwa vitega uchumi vya familia Katavi

Katavi. Wakati Serikali inajitahidi kuandaa mazingira na mipango madhubuti ya makuzi, malezi na maendeleo ya mtoto kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali hali ni tofauti wilayani Mpanda Mkoa wa Katavi. Watoto wengi wamekuwa wakitegemewa na familia kwa kufanya kazi ya kuuza matunda na mbogamboga mitaani, badala ya kwenda shuleni. Hali hiyo imeelezwa kuchochea mimba za utotoni….

Read More

Masikini Mdamu bado anataabika, anahitaji msaada

JE, unataka kujua maisha ya aliyekuwa mshambuliaji wa Polisi Tanzania, Gerald Mathias Mdamu yanaendeleaje kwa sasa, Mwanaspoti limefanya mahojiano naye maalum kwa kumtembelea nyumbani kwake Kimara Bonyokwa, Jijini Dar es Salaam ambako  amefunguka mambo mengi. Kwa mdau au taasisi inayopenda kumsaidia Mdamu kwa fedha, vifaa tiba au matibabu wawasiliane naye mwenyewe kupitia namba yake;  0655-670101(itasoma…

Read More

SERIKALI KWA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI YATOA MAFUNZO KWA WAJUMBE WA NACoNGO,WASAJILI WASAIDIZI MIKOA NA  HALMASHAURI 

  Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu,akizungumza wakati akifungua  mafunzo ya siku mbili  kwa wajumbe wa Baraza la Taifa la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NACoNGO) na Wasajili Wasaidizi kwa ngazi ya Mikoa na Halmashauri zote Tanzania bara yenye lengo la kuwajengea uwezo yaliyoanza leo Septemba…

Read More

Huyu ndiye Babu Duni usiyemjua

Zanzibar. Septemba 4, 2024, Juma Duni Haji, maarufu Babu Duni ametangaza kustaafu siasa. Ameagwa kwa heshima na chama chake cha ACT-Wazalendo.Katika hafla hiyo ya kumuaga, mwanasiasa mkongwe wa chama hicho, Ally Saleh maarufu Alberto amesoma wasifu wa Babu Duni ambaye kwenye safari yake ya kisiasa imekuwa ya kupanda na kushuka. Unajua Babu Duni amewahi kuwa…

Read More

Mashambulizi ya Urusi yauwa 7 Lviv – DW – 04.09.2024

Kwa mujibu wa meya wa mji Lviv, Andriy Sadovyi, watoto watatu walikuwa miongoni mwa waliouawa kwenye mashambulizi hayo, ambayo hadi asubuhi ya Jumatano (Septemba 4) bado yalisababisha mifumo ya anga ya Ukraine kuendelea kuvuma wakati ikiendelea kuzisaka na kuzidunguwa droni kutokea Urusi. “Hadi muda huu ambapo ni saa mbili asubuhi, zaidi ya watu 35 wanatibiwa. Wengi…

Read More