Majaliwa akutana na bosi mteule wa WHO kanda ya Afrika

Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuiya za kimataifa. Amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika na sasa mafanikio yanaonekana. Majaliwa amesema hayo…

Read More

Mwenda, Singida sasa kimeeleweka | Mwanaspoti

SAKATA la beki mpya wa Singida Black Stars, Israel Mwenda na uongozi wa timu hiyo limebakia hatua chache kabla ya kufikia mwishoni baada ya wasimamizi wa mchezaji huyo kukubali kumlipa Sh 60 milioni ili aungane na timu hiyo. Mwenda aliyesajiliwa hivi karibuni akitokea Simba baada ya kumalizana na waajiri wake wa Msimbazi, alikuwa bado hajaungana…

Read More

Shelisheli yatambua mchango wa JWTZ

Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Salum Haji Othuman ameishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge, Ulinzi na Mambo ya Nje ya Kisiwa cha Ushelisheli kwa kuthamini mchango mkubwa uliotolewa na JWTZ katika harakati za ukombozi barani Afrika. Luteni Jenerali Othuman ameyasema hayo alipotembelewa na kamati hiyo Makao Makuu ya JWTZ Msalato jijiji Dodoma tarehe 03…

Read More

JKT Stars inachapa tu BDL

TIMU ya JKT Stars inaendelea kuonyesha makali katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) baada ya kuifunga  Tausi Royals kwa pointi 70-61. Mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay ulishuhudia JKT Stars ikichomoza na ushindi ulioiongezea matumaini ya kufanya vizuri katika mashindano hayo mwaka huu. Makali ya timu hiyo yalianza kuonekana…

Read More

Tanzania kujiimarisha zaidi Kidiplomasia – Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kujiimarisha kidiplomasia na itaongeza nguvu zaidi ili kuwawezesha Watanzania wengi kupata fursa mbalimbali katika jumuia za kimataifa. Amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanikisha kuimarisha ushirikiano baina ya nchi washirika na sasa mafanikio yanaonekana. “Rais wetu ameonesha nia njema katika…

Read More

Uchakavu wa mabehewa ulivyokwamisha abiria Tazara

Dar es Salaam. Abiria wanaotumia usafiri wa treni kupitia reli ya Tazara kutoka Dar es Salaam hadi Mbeya wameiomba Serikali kuingilia kati usimamizi wa shirika hilo ili kuondoa adha zinazowakumba. Abiria hao wamesema changamoto haziishi kutokana na kukwama mara kwa mara kwa safari, wakieleza wanahisi hali hiyo inatokana na usimamizi mbovu. Wamesema wamekuwa wakipata usumbufu…

Read More

Huyu ndiye Hamza kitasa aliyeiteka Simba SC mapema

UWEZO wa kucheza kulia au kushoto katika eneo la beki wa kati ni miongoni mwa mambo ambayo yanambeba mzawa, Abdulrazack Mohamed Hamza ambaye ameanza kuwa kipenzi cha mashabiki wa Simba kutokana na kiwango alichokionyesha akiwa na wekundu hao wa Msimbazi katika michezo ya mwanzoni mwa msimu huku akiibua vita mpya. Hamza ambaye ni ingizo jipya…

Read More