SERIKALI: THAMANI YA DHAMANA ZA MIKOPO ZISIZIDI MARA MBILI YA MKOPO

Na. Saidina Msangi, Kisarawe, Pwani. Wananchi wa Kitongoji cha Homboza Wilayani Kisarawe, mkoani Pwani, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanachukua mikopo katika taasisi za watoa huduma za fedha waliosajiliwa kisheria huku wakihakikisha kuwa thamani ya dhamana za mikopo wanazoweka zisizidi mara mbili ya mkopo wanaopewa. Wito huo umetolewa na Timu ya Wataalamu kutoka Wizara ya Fedha waliofika…

Read More

Pwani yazindua ligi kivyake | Mwanaspoti

WAKATI vyama vya kikapu nchini vikiandaa uzinduzi kwa kushindanisha timu viwanjani moja kwa moja, Mkoa wa Pwani umeanza kwa wachezaji kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo Kaole wilayani Bagamoyo. Katibu wa Chama cha Kikapu mkoani humo, Abdalah Mpongole amesema baada ya kutembelea vivutio hivyo wachezaji   walishiriki katika bonaza lililofanyika katika Uwanja wa Sekondari ya Bagamoyo. “Katika…

Read More

TRA punguzaeni migogoro ya kikodi -RC Chalamila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila amewataka TRA kujadili na kupunguza migogoro ya kikodi inayolalamikiwa na Wafanyabiashara, kutanua wigo kwa walipa kodi kulingana na vyanzo vingi vya mapato vilivyopo katika Mkoa na pia kuboresha miundombinu ya kikodi ili TRA iweze kukusanya mapato zaidi. Chalamila amesema hayo wakati alipokutana na Kamishna Mkuu wa…

Read More

Mafanikio ya Tanzania Sekta ya Bahari yaivuta Comoro

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mafanikio makubwa ya Tanzania katika sekta ya bahari yameivutia nchi ya Comoro kutaka kujifunza masuala mbalimbali kupitia Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI), ikiwemo uwezo wa kuwahudumia meli, uongozaji wa vyombo vya majini, na utaalamu wa biashara ya bahari ili kujenga rasilimali watu. Kauli hiyo ilitolewa Septemba 3, 2024…

Read More

Mgunda akitua tu Azam FC kuweka kibindoni milioni 20

WAKATI jana viongozi wa Azam FC wakitangaza kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na Kocha Youssouph Dabo raia wa Senegal sambamba na wasaidizi wake wote aliokuja nao, taarifa zinabainisha kwamba Juma Mgunda anapigiwa hesabu. Na kama wakikubaliana inaelezwa mshahara wake kwa mwezi utakuwa Sh20 milioni. Dabo aliyedumu ndani ya Azam kwa mwaka mmoja, ameondolewa rasmi…

Read More

NGO’s zatakiwa kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi

Geita. Wakati Watanzania wakitarajia kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, 2024 kwa kupiga kura na Uchaguzi Mkuu 2025, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) mkoani Geita yametakiwa kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa wananchi kupiga kura. Pia, mashirika hayo yametakiwa kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kumchagua kiongozi mwenye…

Read More

Simba, Yanga kupigwa Benjamin Mkapa Oktoba 19

Mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu msimu huu baina ya Simba na Yanga iliyopangwa kuchezwa Oktoba 19 katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam sasa itachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku hiyohiyo kuanzia saa 11:00 jioni. Mabadiliko hayo yametangazwa leo na bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB). “Bodi ya Ligi…

Read More