CP KAGANDA ATOA UZOEFU WAKE MASUALA YA POLISI JAMII MAREKANI

 *NI KATIKA NCHI ALIZOHUDUMU KULINDA AMANI, WASHIRIKI WAIPOKEA MBINU HIYO Na Abel Paul Chicago Marekani. Ikiwa ni mwendelezo wa mafunzo kwa askari wa kike na wasikamizi wa sheria duniani yanayoendelea Chicago Nchini Marekani suala la Uzoefu katika Masuala ya Polisi Jamii nalolikatolewa na kamishna wa Polisi Utawala na menejimenti ya rasilimali watu katika maeneo aliyohudum…

Read More

KONA YA MALOTO: Kifua cha Marko Ng’umbi kina mengi kuhusu uhalifu wa kidola

Mwanazuoni wa Ujerumani, Friedrich Nietzsche alishaweka sawa tafsiri kuhusu uhalifu wa kidola, ni makosa yote yenye kufanywa na dola kimfumo au kiongozi mmoja mmoja.Kutanua tafsiri; vitendo vya rushwa na ufisadi, uharibifu wa uchaguzi na ukandamizaji wa demokrasia, uvunjifu wa Katiba, hata ukiukwaji wa sheria. Makosa yoyote yenye kufanywa serikalini moja kwa moja hubeba mantiki ya…

Read More

Balozi Karume afichua kwanini hawezi kufukuzwa CCM

Miezi 14 baada ya kuvuliwa uanachama, mwanadiplomasia, Balozi Ali Karume ameendelea kusisitiza kwamba yeye ni mwanachama halali wa Chama cha Mapundizi (CCM) na hawezi kuvuliwa uanachama na “mdandia reli”. Mwanasiasa huyo amekuwa kimya katika kipindi chote hicho tangu alipovuliwa uanachama wa CCM, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni ukiukaji wa maadili na misingi ya chama kwa…

Read More

Hii hapa njia ya kupunguza gharama kilimo cha umwagiliaji

Dar es Salaam. Matumizi ya umeme jua kama nishati ya kusukuma maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ni moja ya njia inayoweza kupunguza gharama za uzalishaji kwa wakulima. Hiyo ni kutokana na kutohitaji fedha kila siku kwa ajili ya kununua mafuta kwa ajili ya jenereta litakalosukuma maji kwenda kwenye mashamba kutoka kwenye vyanzo, badala…

Read More