
Serikali yaweka mikakati ya Wahandisi vijana kushiriki katika miradi mikubwa
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi akizungumza wakati akifungua Jukwaa la Wahandisi Vijana jijini Dar es Salaam. Msajili wa Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB), Mhandisi Bernard Kavishe, akitoa maelezo kuhusu Jukwaa la Wahandisi Vijana, jijini Dar es Salaam. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana,…