Straika KenGold amezea mate kiatu

STRAIKA wa KenGold ya Mbeya, Ibrahim Joshua amesema msimu huu amepanga kufunga zaidi ya mabao 16 na kuwa mmoja wa washambuliaji ambao watakuwa wakipigania kiatu cha ufungaji bora Ligi Kuu Bara. Msimu uliopita kiatu hicho kilichukuliwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI. Joshua ambaye alikuwa nje ya uwanja msimu uliopita akiuguza majeraha ya…

Read More

Hatua muhimu Dola ikizidi kupaa

Dar es Salaam. Shilingi ya Tanzania imeshuka thamani dhidi ya Dola ya Marekani kwa asilimia 11.4 ndani ya kipindi cha mwaka mmoja uliopita, hali inayowastua waagizaji wa bidhaa, sanjari na hofu ya ongezeko la gharama za utekelezaji wa baadhi ya miradi mikubwa. Kushuka kwa Shilingi dhidi ya Dola kulitokana na kuadimika kwa sarafu hiyo ya…

Read More

AFISA MTENDAJI MKUU DSE AJITAMBULISHA KWA WAZIRI WA FEDHA

    Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa la Dar es Salam (DSE) aliyefika kujitambulisha.  Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ya Waziri wa Fedha, Dkt. Nchemba, jijini Dodoma.Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza kuhusu maendeleo ya…

Read More

Majina mawili mezani makocha Coastal Union

WAKATI Coastal Union ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya mezani kwa mabosi wa kikosi hicho kuna majina mawili ambapo kama yaatapita basi kuna uwezekano wakawa ni kocha mkuu na msaidizi wake. Taarifa za ndani ya kikosi hicho zimelidokeza Mwanaspoti kuwa klabu hiyo ipo kwenye mazungumzo ya mwisho na makocha  wawili ambao wamefundisha timu za…

Read More

Viboko Mto Mwiruzi wageuka tishio Biharamulo

 Biharamulo. Viboko waliopo Mto Mwiruzi wamegeuka tishio kwa wananchi kwa kuharibu mashamba ya mpunga mtama, mahindi na miwa zaidi ya ekari 2,000, huku wakihatarisha maisha ya wananchi. Wakizungumza na Mwananchi leo Septemba 3, 2024 baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Msekwa wilayani Biharamulo, Kasiri Mabula wamesema adha ya viboko imekuwa ikiwakumba kwa zaidi ya miaka…

Read More

MWENYEKITI KIBUGUMO ,KIGAMBONI AJIVUNIA MAFANIKIO YAKE YA UONGOZI NDANI YA MIAKA MITANO

  Na Mwandishi Wetu,DmNews tz online  MWENYEKITI wa Serikali ya mtaa wa Kibugumo katika Halmashauri ya Wilaya Kigamboni Yusuph  Selemani Tindwa  Amesema kuwa katika kipindi cha uongozi wake amejitahidi kutatua Kwa kiwango kikubwa kero ya migogoro ya ardhi. Amesema wakati anaingia madarakani  mwaka 2019 mtaa wa kibugumo ulikuwa na changamoto kubwa ya ardhi lakini baada…

Read More