Wanasiasa nchini Ujerumani wajadiliana sera ya uhamiaji – DW – 03.09.2024

Waziri wa Mambo ya Ndani katika jimbo la Hesse, magharibi mwa Ujerumani Roman Poseck amenukuliwa akisema kuna umuhimu wa kuifanyia mageuzi makubwa sera ya uhamiaji. Poseck, kutoka chama cha Christian Democratic Union, CDU akaongeza kuwa kwa mtizamo wake anadhani matokeo yanatakiwa kuonekana ndani ya kipindi kifupi. Katibu Mkuu wa chama cha FDP, kinachopendelea wafanyabiashara, Bijan…

Read More

Taasisi za bima zatakiwa kufikisha elimu ngazi ya Tanzania

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikihimiza bima ya afya kwa wote, taasisi zinazosaidia utoaji wa huduma hiyo kwa unafuu, zimetakiwa kufikisha elimu hiyo ngazi ya chini ya jamii ili waweze kuzifahamu. Wito huo umetolewa na Mratibu wa Tiba na Magonjwa yasiyoambukiza Manispaa ya Kinondoni, Dk Omar Mwangaza  kwenye  uzinduzi wa uchangiaji wa kadi ya afya…

Read More

WIZARA YA AFYA TANZANIA BARA, ZANZIBAR, CDC, WADAU WAJADILI UHARAKISHAJI WA UTEKELEZAJI WA MPANGO JUMUISHI WA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII

Na. Elimu ya Afya kwa Umma. KATIKA utekelezaji wa Mpango Jumuishi wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Wadau wa sekta ya Afya kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani kwa kushirikiana na Shirika la Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa la Afrika (Africa CDC) pamoja na Wadau wengine leo tarehe 3, Septemba, 2024 wamekutana Jijini Dar es…

Read More

Mwinyi Zahera apewa mechi mbili

KOCHA wa Namungo FC, Mwinyi Zahera amepewa mtihani wa kushinda zaidi ya mechi mbili ili kuendelea kusalia ndani ya kikosi hicho, nje na hapo kibarua chake kinaweza kuota nyasi. Zahera ambaye alianza kukinoa kikosi hicho tangu msimu uliopita akitokea Coastal Union, inaelezwa endapo dili la kocha wa Simba Queens, Juma Mgunda lingetiki basi hadi asingekuwepo…

Read More

Kejeli za Kiboko ya Wachawi mtandaoni zawaibua wadau

Dar es Salaam. Video zenye maudhui ya kejeli zinazotolewa na Mchungaji Domique Dibwe maarufu kama Kiboko ya Wachawi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, zimeibua mjadala huku wadau wakitaka waumini wajihadhari na imani potofu na Serikali iwalinde dhidi ya imani hizo. Kiboko ya Wachawi aliondoka nchini, baada ya Serikali kulifunga Kanisa la Christian Life Church alilokuwa…

Read More

SLOTI YA UWINDAJI FAIRY IN WONDERLAND, SHINDA MAMILIONI

SLOTI YA UWINDAJI FAIRY IN WONDERLAND, SHINDA MAMILIONI FAIRY in Wonderland ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni inayotendeka katika msitu wa kusadikika, ambako kiumbe mzuri anaingia katika hekaheka na kukutana na Wonderland. Jisajili Meridianbet upige mamilioni kirahisi. Ndani yake kuna kukutana na udadisi kadha wa kadha katika dunia hii isiyo ya kawaida lakini pia vikwazo katika muundo…

Read More

Wakulima walia bei ya kakao ikiporomoka

Mbeya. Wakati wakulima wa kakao Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya wakishtushwa kushuka kwa bei ya zao hilo, wameiombwa Serikali kuboresha Mfumo wa Soko na Bidhaa (TMX) ili kumsaidia mkulima kunufaika. Bei ya kakao ilikuwa imepanda hadi kufikia Sh32,171 kwa kilo moja kwa msimu wa kilimo 2023/24 na kwa mnada uliofanyika jana Jumatatu Septemba 2, 2024…

Read More

Fanya hivi kushinda mamilioni ya kasino leo

  Ile promosheni yenye mibonasi na zawadi kibao ya kasino bado inaendelea, jisajili na Meridianbet kisha cheza michezo ya kasino ya mtandaoni, huku ukifurahia ushindi mkubwa kwa njia rahisi. Shindano la Epxanse Kasino, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea….

Read More