Vijiji vilivyoathirika na maporomoko Hanang kunufaika na mradi wa maji 

 Babati. Vijiji vitano vilivyoathirika na maporomoko ya matope  kutoka Mlima Hanang Desemba 2023 mkoani Manyara, vinatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wenye thamani ya Sh1.7 bilioni. Lengo ni kuboresha maisha ya wakazi wa vijiji hivyo vilivyoathirika kutokana na maporomoko ya mawe, miti na matope na kusababisha vifo, majeruhi na kuharibika miundombinu. Hayo yamebainishwa leo Jumanne…

Read More

Mlinzi aliyemuua muuza madini kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa, aliyekuwa mlinzi wa Kampuni ya la Commercial Coal Security Company, Edger Jackson, aliyemuua mfanyabiashara wa madini, Jofrey Mbepela. Edger alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Songea, Februari 9, 2023 kwa kumuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara akiwa mlinzi wa zamu ofisini kwa marehemu. Jopo…

Read More

Singida yampa Mwenda saa 24 kuripoti kambini

UONGOZI wa Klabu ya Singida Black Stars umetoa saa 24 kwa beki Israel Mwenda kujiunga haraka kambini kwa mujibu wa mkataba wake na endapo atashindwa kufanya hivyo anatakiwa kulipa Sh500 milioni. Mwenda amejiunga na Singida Black Stars kwa mkataba wa miaka miwili mwanzoni mwa msimu huu, lakini hajawahi kuripoti kambini kwa kile kinachodaiwa kuwa hajalipwa…

Read More

Benki ya CRDB yazindua mashindano ya CRDB Bank Supa Cup 2024

Benki ya CRDB imezindua rasmi msimu mpya wa mashindano ya mpira wa miguu na mpira wa pete yanayowahusisha wafanyakazi wake yanayotambulika kama “CRDB Bank Supa Cup 2024”, yaliyoanza kutimua vumbi siku ya Jumapili, tarehe 1 Septemba 2024, Jijini Dodoma. Mashindano hayo yanayolenga kuongeza ari, nguvu na ushirikiano baina ya wafanyakazi wa benki hiyo, yaliyofanyika katika…

Read More

Mchenga Star yajuta kuikosa UDSM Dar

POINTI 21 zilizofungwa na UDSM Outsiders katika robo ya tatu katika mchezo dhidi ya Mchenga Star ndizo zilizochangia timu hiyo kushinda mchezo huo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Akizungumza baada ya mchezo kumalizika, kocha mkuu wa  Mchenga Star, Mohamed Yusuph  alisema makosa madogo waliyofanya uwanjani ndiyo yaliyochangia kupoteza mchezo huo….

Read More

Nusu fainali Shy Jumamosi | Mwanaspoti

TIMU za Risasi na Veta zinatarajia kuchuana Jumamosi ijayo katika mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Shinyanga mchezo unaopigwa kwenye Uwanja wa Risasi. Akizungumza na Mwanaspoti kwa simu kutoka Shinyanga,  kamishna wa Ufundi na Mashindano Kikapu mkoani humo, George Simba alisema nusu fainali nyingine itachezwa  Jumapili kati ya Kahama…

Read More

Manyama: Tutatacheza nane bora  | Mwanaspoti

BAADA ya Srelio kuifumua Ukonga Kings kwa pointi 90-50 katika mchezo wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), meneja wa timu hiyo, John Manyama ametoa kauli ya kibabe kwa wapinzani wao, akisema hakuna wa kuwazuia kucheza nane bora ya mashindano hayo. Manyama ameliambia Mwanaspoti kuwa, ushindi huo umewanyoshea njia ya kucheza hatua…

Read More