Netanyahu aapa kupigana kuwalinda watu wake – DW – 27.09.2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa serikali yake inataka amani, huku akionya pia kuwa iko tayari kupigana kwa kuwalinda raia wake. Ijumaa (28.09.2024 ) katika hotuba yake kwenye Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ambayo ilisusiwa na baadhi ya wanadiplomasia ambao walitoka nje ya chumba hicho,Netanyahu amesema Israel maadui zao wanataka si tu kuwaangamiza,…

Read More

Wataka haki, amani itawale uchaguzi wa serikali za mitaa

Lindi. Baadhi ya viongozi wa dini, vyama vya siasa na watu wenye ulemavu mkoani hapa, wametaka kuimarishwa kwa amani na haki wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024. Akizungumza leo Ijumaa Septemba 27, 2024 wakati wa kutoa ratiba ya ya uchaguzi wa serikali za mitaa, Mwenyekiti wa kamati…

Read More

Maonesho ya ajira kati ya Ujerumani na Kenya yafunguliwa – DW – 27.09.2024

Kwenye kongamano la Uhamiaji na maonesho lililoandaliwaa jijini Nairobi, ilibainika kuwa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo serikali inatarajiwa kupokea maombi 500 ya Wakenya wanaopanga kuajiriwa Ujerumani. Waziri wa Ajira nchini Kenya Alfred Mutua amesema kuwa serikali itaweka mikakati ya kufidia mawakala ambao watawasaidia wakenya kupata ajira Ujerumani. Mutua amesema, “Tutafutilia mbali mawakala walaghai. Wazazi…

Read More

Rais Ruto anavyopita njia ya Uhuru kwa Gachagua

Ni kama historia inakwenda kujirudia kwenye siasa za Kenya. Ilianza kwa Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto kiasi cha kuharibu mambo kuanzia ofisini, kwenye kampeni na hata baada ya uchaguzi uliomuweka Dk Ruto madarakani. Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta (kushoto) akizungumza na naibu wake, William Ruto wakati ambao vuguvugu la kutoelewana baina ya…

Read More

Unachelewa kula usiku? Ugonjwa huu unakunyemelea

Dar es Salaam. Kama una tabia ya kuchelewa kula usiku, basi unakabiliwa na hatari ya kupata magonjwa ya moyo, hususani wale wanaotumia vyakula vyenye wanga na sukari. Takwimu za Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) zinaonyesha kuwa takribani watu milioni 17 wanakufa kwa magonjwa ya moyo duniani kwa mwaka na tatizo hilo linaongezeka…

Read More

Unachelewa kula usiku? Ugonjwa huu unakunyemelea

Dar es Salaam. Kama una tabia ya kuchelewa kula usiku, basi unakabiliwa na hatari ya kupata magonjwa ya moyo, hususani wale wanaotumia vyakula vyenye wanga na sukari. Takwimu za Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) zinaonyesha kuwa takribani watu milioni 17 wanakufa kwa magonjwa ya moyo duniani kwa mwaka na tatizo hilo linaongezeka…

Read More