ZRA yatoa sababu kuvuka lengo makusanyo ya kodi Agosti

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevuka lengo la makusanyo ya kodi kwa asilimia 102.34 kwa Agosti, 2024. Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA, Said Ali Mohammed amesema leo Jumanne, Septemba 3, 2024 kwamba mamlaka hiyo imefanikiwa kukusanya Sh71.11 bilioni kati ya malengo ya kukusanya Sh69.49 bilioni. Amesema makusanyo hayo yameongezeka jumla ya Sh13.87 bilioni sawa…

Read More

ZANZIBAR YANUFAIKA NA FEDHA ZA MAZINGIRA

  Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 06 Mkutano wa 16 wa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 03 Septemba, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akishiriki Kikao cha 06 Mkutano…

Read More

‘Mifumo itumike kupambana dawa za kulevya Afrika’

Unguja. Ili kufikia malengo ya pamoja katika kupambana na dawa za kulevya nchi za Afrika zimetakiwa kuimarisha mifumo ya kupeana taarifa, kubadilishana mbinu bora na kuongeza ushirikiano kuanzia ngazi za kitaifa, kikanda na kimataifa. Wakati mapambano hayo yakifanyika, pia nchi husika zinapaswa kuwa na sera na sheria zinazozingatia haki za binadamu. Hayo yamebanishwa leo Jumanne,…

Read More

MBUNGE KOKA ATEMA CHECHE KUWAPIGA JEKI UVCCM MRADI WA KAMPUNI

NA VICTOR MASANGU, KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo amepania kuwainua vijana na kuwaondoa katika wimbi la umasikini kwa kuwachangia gharama mbali mbali kwa ajili ya kuanzisha kampuni ya umoja wa vijana wa (UVCCM) Wilaya ya Kibaha mjni ambayo itawasaidia katika kujikwamua kiuchumi. Koka ametoa kauli…

Read More

Serikali kutoa maelekezo kwa halmashauri kujenga viwanja

Dodoma. Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo inafikiria kuzielekeza Mamlaka bajeti zao kwa ajili ya kutekeleza miradi ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa maeneo yao. Hayo yamesemwa leo Septemba 3,2024 na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Jacqueline Kainja. Mbunge…

Read More

Yametimia, Dabo afungashiwa virago Azam

Bodi ya wakurugenzi ya Azam FC imefikia makubaliano ya pande mbili na aliyekuwa kocha wa Azam Fc Youssouph Dabo ya kutoendelea kufanya kazi naye kuanzia Septemba 3, 2024. Taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano ya klabu hiyo imeeleza Dabo aliyehudumu kwenye kikosi hicho kwa mwaka mmoja na kuifanya timu hiyo kumaliza katika nafasi…

Read More

TCU yafungua udahili awamu ya pili

Dodoma. Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha la udahili kwa awamu ya pili kwa wanafunzi wa shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2024/2025 utakaoanza leo Jumanne, Septemba 3  hadi 21, 2024. Dirisha hilo linafunguliwa wakati ambao waombaji 98,890 sawa na asilimia 79.6 ya waombaji walioomba udahili katika awamu ya kwanza wamepata udahili kwenye…

Read More

Fei Toto anatoa msimamo Azam FC

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema licha ya kuondolewa mapema katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu lakini ana imani kubwa na timu hiyo kutokana na kuwa na kikosi bora chenye ushindani, hivyo wanapambana mwakani warudi tena kimataifa. Azam FC imeondolewa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika…

Read More