Shahidi kesi ya mkopo benki za Equity azidiwa kiafya

Dar es Salaam. Hali ya afya ya shahidi wa pili wa upande wa madai katika kesi ya mgogoro wa malipo ya mkopo iliyofunguliwa na Kampuni ya Continental Reliable and Clearing (CRC) (mkopaji) dhidi ya benki za Equity Tanzania (EBT) na Equity Kenya (EBK), imekwamisha usikilizwaji wa kesi hiyo. Kesi hiyo ilipangwa kuendelea kwa siku nne…

Read More

Tanimu: Kutua Ulaya ni kama zali tu

ALIYEKUWA beki wa Singida Black Stars, Benjamin Tanimu ambaye amejiunga na Crawley Town FC ya Ligi Daraja la Pili England ‘EFL League One’, amesema ni kama zali tu kwake kutoka Ligi Kuu Bara hadi kupata nafasi ya kwenda kucheza soka la kulipwa katika moja ya mataifa makubwa barani Ulaya. Kitasa huyo ambaye alikuwa akiitwa na…

Read More

Vifaatiba na vitendanishi vya Sh100 milioni vyatekea

Mwanza. Vifaatiba na vitendanishi vya zaidi ya Sh100 milioni vimeteketea kwa moto katika Kituo cha Afya Kakobe Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Vifaa hivyo vimeungua moto baada ya jengo la wagonjwa wa nje (OPD) lenye vyumba kutokana na hitilafu ya umeme usiku wa kuamkia Septemba 2, 2024. Akitoa taarifa jana kwa Mkuu wa Mkoa wa…

Read More

Serge Pokou aichongea Simba CAF

WAKATI Simba ikianza kushika kasi, Winga wa Al Hilal, Serge Pokou ameichongea timu hiyo kuelekea mchezo wa mzunguuko wa awali wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya. Simba itaanzia ugenini Libya kati ya Septemba 13-15, kisha itarudi nyumbani kwa mchezo wa mkondo wa pili utakaochezwa kati ya Septemba 20-22. Staa…

Read More

KAMBI YA UPASUAJI WA MOYO YAZINDULIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu nchini Saudi Arabia, Omar Almohzy, ametembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ili kufanya maandalizi ya kambi maalumu ya upasuaji wa moyo kwa watoto. Katika picha hii, Dr. Almohzy akimfanyia mtoto kipimo cha echocardiography (ECHO) ili kuangalia jinsi…

Read More

Jeuri ya Gamondi Yanga ipo hapa

UMELIONA benchi la ufundi la Simba lililovyoshiba watu? Nenda Azam pia wana watu wa maana lakini hao wote kuna vichwa vitatu tu vinawakimbiza sana kutoka pale kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga. Timu hizo kubwa zote zimejikuta zikiumia mapema wakati msimu unataka kuanza wakipokea vipigo lakini kuna jambo moja tu limewashinda kutoka Yanga….

Read More